Pole sana kwa kuteswa na Pajero io, ambazo waswahili wanaziita GDI. Hizi ni gari nzuri sana na za kisasa, mafundi wengi wamezoea kubabaisha ndiyo maana watu wanadhani zina matatizo. Ningekushauri uipeleke Pugu Rd kwa mafundi wa Mitsubishi (Diamond Motors) au mafundi wa Bosch, wataangalia tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.