Search results

  1. M

    Yaleyale ya awamu ileeee yamerudi

    Hiya TanzaniaLeaks inakosesha watt usingizi sana. Huo mtandao nadhani ni watu wa NDANI ya serikali maana taarifa zao zinaogopesha na so deep
  2. M

    Freeman Mbowe nyamaza au Ingia CCM 100% maana wewe ni mtoa taarifa

    So much outcry about Mr. Mbowe, what does it mean?
  3. M

    Freeman Mbowe nyamaza au Ingia CCM 100% maana wewe ni mtoa taarifa

    Mbowe msaliti. Ajiuzulu CDM aende CCM
  4. M

    Freeman Mbowe nyamaza au Ingia CCM 100% maana wewe ni mtoa taarifa

    Comrade Makonda hakuongea kwa bahati mbaya wala kukurupuka, aliongea ukweli mtupu. Freeman Mbowe, Ntobi, Salim Mwalimu, na Bonifas Mwita ni baadhi tu, ya watoa taarifa ndani ya Chadema. Imefika muda tuseme kila kitu kwa uwazi kwamba, Chadema ina wazalendo wachache. Wengine wote wachumia tumbo na...
  5. M

    Mbowe masaibu ya CHADEMA yalitokana na CCM, Magufuli na Samia. Kwanini unamtoa Rais Samia kwenye lawama?

    Masaibu yaliyoikumba Chadema na Viongozi wake; Jaribio la kumuua Lissu, Kumbambikia Mbowe issue ya ughaidi, kuwasweka wafuasi wa chadema jela na mengineyo yametokana CCM, Magufuli panoja na Samia. Nashangaa, kwenye hotuba zake, Mbowe anajikita zaidi kwenye kumshambulia JPM badala ya...
  6. M

    2025 Rais wetu ni Lissu. Mbowe ni sawa na Zitto, wote Mamluki

    Hapana. Let's call a spade a spade
  7. M

    2025 Rais wetu ni Lissu. Mbowe ni sawa na Zitto, wote Mamluki

    Mbowe is a disgrace selfish individual.
  8. M

    2025 Rais wetu ni Lissu. Mbowe ni sawa na Zitto, wote Mamluki

    Mbowe anazunguka na Chopper. Mbowe amepewa Landcruiser V8 mbili na Samia. Ana msafara wa V8 kumi nambili, Huku Makamu mwenyekiti wake anabaguliwa. Hana hata gari moja Nadhani ni dhahiri kwamba Samia anataka Mbowe agombee 2025 ili auze ushindi. Watanzania hawatakubali. Chadema siyo mali ya Mbowe...
  9. M

    Lissu anahujumiwa, CHADEMA imeuzwa

    Sawa umethibirisha mimi mjinga, ila ujumbe unefika
  10. M

    Lissu anahujumiwa, CHADEMA imeuzwa

    Ndufu yanfu, mimi sina chama. Mimi mwandishi, ila nasema kwamba, Lissu ndio mkombozi wa watanzania
  11. M

    Lissu anahujumiwa, CHADEMA imeuzwa

    Nasimamia maneno yangu. Kwamba, maridhiano ni ya Mbowe, Samia na CCM Viongozi wote wa Chadema nilioongea nao, hawataki kabisa maridhiano wakiamini ni ujanja wa wa CCM kupoteza muda
  12. M

    Lissu anahujumiwa, CHADEMA imeuzwa

    Thibitisha ni uongo. Mimi nimeandika ukweli
  13. M

    Lissu anahujumiwa, CHADEMA imeuzwa

    Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni...
  14. M

    Msafara wa Mwigulu Nchemba. Je, Kipindi Cha Magufuli ungeyafanya Haya?

    H Ayo majamaa nayo majizi siku hizi. Hayana time
  15. M

    Paul Makonda na William Malecela waburuzwa kizimbani kwa tuhuma za kudhulumu gari

    Jamani watamuua Lemutuz, libabu la watu kwa Presha. limechoka alafu analetewa makes mengine. Walimwengu siyo wema kabisa You know, I am super humbled sana.
  16. M

    Zitto Kabwe atua Ukraine akiwa na Bobi Wine

    Zitto opportunistic and traitor. Lyatonga aliyebakia Tanzania
  17. M

    Prof. Mkumbo: Katiba iliyopo sasa sio ya Demokrasia ya Vyama Vingi

    This guy is an hypocrite......Sukumq Ghang sabotaging the Madame President
  18. M

    Msafara wa Mwigulu Nchemba. Je, Kipindi Cha Magufuli ungeyafanya Haya?

    Mwigulu Believes that he is the n3xt President
Back
Top Bottom