Nikupongeze mtoa mada hii. Ni kweli Waziri anatakiwa atulize kichwa kabla ya kuamua. Kinachoangaliwa hapa ni quality of education na sio quantity.
Sioni maana ya kuweka ada elekezi. Kama serikal ina nia ya kusaidia watu wake basi iboreshe shule za serikali kwa kutoa chakula kizuri, malezi...
Tumuombe waziri mkuu atembelee hivi vyuo ajionee jinsi uongozi wake ulivyo mbovu na ufujaji wa fedha za umma.
Vyuo hivi vimefanywa shamba la bibi na undugu umetawala sana. Unakuta mtu na mke wake na mtoto wote wapo hapo. Ukifatilia utakuta ni undungunization tu.
Tunaomba vimulikwe vyuo...
Tusubiri hotuba. Tuache ushabiki wa vyama sasa. Tuangalie maslahi ya jamii. Mara CCM mara Ukawa. Hapa kazi tu. Hat CCM wasipokaa sawasawa watapugwa tu.
Mh Magufuli. Salamu nyingi sana hapo ulipo. Sisi wapiga kura wako wazima.
Mh. tunakupenda sana na hatutaki ukosee. Hizi wizara zinakutosha na tunakuomba ufanye utafiti mzuri wa watu wa kuwaweka. Kuna watu wamechokwa na jamii, kamwe usiwaweke hao watakuharibia jina. Ukikosa watu nenda vyuoni na...
Pigeni kelele. Hii awamu mpya. Mambo ya kubeba mizogo eti mtoto wa ex Pres au ex Katibu wa chama hakuna. Jembe jipya na sura mpya. Hatutaki mazoea yenu. Watu wapo wengi. Kusaidia kampeni sio tiket upewe uwaziri. Tunaangalia weledi. Kuna watu walikutwa na scandal za escrow na hata kukashfu watu...
Sijaona Kiongozi ambaye hajakumbukwa na kashfa za rushwa. Si Ukawa wala Ccm. Wanatifautiana tu viwango vya rushwa.
Tunahitaji kiongozi anajitoa kusaidia jamii na anaye kubalika na wengi. Kiongozi anayeweza kukemea jambo la kiutendaji na kusukuma maendeleo mbele.
Mh Lowasa anafaa kuwa...
Niwaambie kitu. Bila kujali wewe Ccm au chadema, ukidhulumu haki ya watu , upanga utakufuata, utapeli na kutoa siri za chama ni sumu kali sana. Mtu yeyote anagundulika kuwa na tabia hii ni mbaya kama Alshabab au Bokho haram. Haijalishi unapiga kelele kiasi gani bungeni
Mimi sipendi mnafiki...
Niwaambie kitu. Bila kujali wewe Ccm au chadema, ukidhulumu haki ya watu , upanga utakufuata, utapeli na kutoa siri za chama ni sumu kali sana. Mtu yeyote anagundulika kuwa na tabia hii ni mbaya kama Alshabab au Bokho haram. Haijalishi unapiga kelele kiasi gani bungeni
Mimi sipendi mnafiki...
Kama ni mpuwa ni heri tusimamishe beberu la mbegu. Hana sifa stahiki huyo. Ccm imejipanga bana......hata Chili hamwez......labda agombee ujumbe wa mtaa
Tetesi zinazozunguka ni kuwa Chadema imepata nguvu sana Manyoni mashariki ambalo hilo jimbo lipo chini ya Mh Chiligati. Ingawa mh Chiligati hajaweka wazi dhamira yake ya kugombea, nguvu ya siasa inaegemea CHADEMA. Wasiwasi uliopo ni kama CHADEMA inaweza vunja ngome ya CCM Manyoni mashariki kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.