Search results

  1. liwaya

    Wapi kiwanja Bomba Mwanza

    Wadau nisaidie viwanja vya kuvinjali weekend hii Niko Mwanza kwa siku mbili nataka nikajirushe yenye pisi Kali na kuangalia music na kuangalia mpira yote
  2. liwaya

    Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison

    Nasikia kitu kizito kimeshatua huko Ila imetoka kwa lugha ya malkia mwenye taarifa atuwekee kitu hapa ==== MAHAKAMA ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison Raia wa Ghana na kumfanya mchezaji huyo kuwa halali...
  3. liwaya

    CAS ya Morrison na Mwakalebela march hii mwenyekuijua

    Wadau salam, Naomba wajuvi watujulishe kwa maendeleo ya kesi ya Morrison na Yanga huko CAS yakoje kwani ilielezwa march hii itatoka ratiba ya vikao na jaji alishateuliwa huo ni upande wa Yanga na mara zote hatujaweza kuona lolote kwenye rataba ya CAS naomba mwenye taarifa baada ya kuingia...
  4. liwaya

    Wanawake hawawezi kufanya mapenzi bila kuwa na hisia na mwanaume huyo

    A man can cheat on his woman and still love her but a woman cannot cheat on her man and still love him. I say this because while men do not have sex with emotions, women can't have sex without attaching emotions to it. This is the reason men simply need a place to have sex while women need a...
  5. liwaya

    Tatizo la kuwashwa mwili

    Wanajamvi naomba msaada wa kitabibu kwani mwili unawasha sana kwa takribani mwezi sasa hadi natokewa na kama uvimbe usiku na mchana. Sijaelewa nifanye nini na tatizo huenda ni nini. Naomba ushauri
  6. liwaya

    WAPI ISACK MYENJWA GAMBA?

    Huyu bwana Nina muda mrefu sana sijamsikia redioni wala TV huku alikuwa nguli kwenye tasnia ya habari naomba mnijuze yuko wapi na anafanya nini ikiwezekana nipatieni mawasiliano namkubali ktk kazi ilikuwa
  7. liwaya

    Natafuta rafiki wa kike

    Natafuta marafiki wa kike umri uwe miaka 30 -48 sitaki taabu ya kumsumbua na mtu mengi yatafuata
  8. liwaya

    Mwanamke wa urafiki

    Naomba mwanamke yyt mwenye kutaka urafiki nami si kuoana unri kuanzia 30 hadi 46 ajitokeze zaidi tuwasiliane
  9. liwaya

    Tatizo la kutetemeka mbele za watu

    Kuna ndugu yangu mkubwa tu serikalini mwanzoni alikuwa safi ila kadri miaka inayokwenda sasa anamiaka 43 ameanza tatizo la kutetemeka akiwa mbele za watu kiasi cha kushindwa kushika kitu hata kijiko. Msaada wenu unahitajika hata namba za simu za mahali tunaomba. Anakosa raha sana amekuwa...
  10. liwaya

    Rafiki wa kike

    Natafuta rafiki wa kike umri 30-50 mie 45 awe anajitambua na kujiheshimu namba ya simu itatolewa baada ya kupata muitikio
  11. liwaya

    Nipeni quality of a good introduction para

    Wanajamii naomba in a nutshell.sifa za good intoduction paragraphy kwa kumjulisha mtu anayejifunza aelewe
  12. liwaya

    Shaffih Dauda ajirekebishe

    Nashindwa kumwelewa huyu shaffi dauda amekuwa na tabia ya kubeza tu na kushadidia vya nje bila ya kuwa na ulinganifu na kwa kuwa amepewa forum ya kusema tu anaitumia vibaya sana kukandia wengine bila sababu mfano jana akiwa clouds tv alikataa kutambua uwezo wa kipekee alioonyesha Manjyika Jr kwa...
  13. liwaya

    Nataka demu

    Demu yoyote ajitokeze tujirushe tu kunipata tuma sms 0688381048
  14. liwaya

    Naomba Msaada kuhusu Kamati ya MAhalu

    ndg zangu niasaidie majnia na idadi ya wajumbe wa kamti ya dr costa ricky mahalu niwajue ili from the start nijiridhishe kinachowasilishwa ni cha aina gani
Back
Top Bottom