Wadau nisaidie viwanja vya kuvinjali weekend hii Niko Mwanza kwa siku mbili nataka nikajirushe yenye pisi Kali na kuangalia music na kuangalia mpira yote
Nasikia kitu kizito kimeshatua huko Ila imetoka kwa lugha ya malkia mwenye taarifa atuwekee kitu hapa
====
MAHAKAMA ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison Raia wa Ghana na kumfanya mchezaji huyo kuwa halali...
Wadau salam,
Naomba wajuvi watujulishe kwa maendeleo ya kesi ya Morrison na Yanga huko CAS yakoje kwani ilielezwa march hii itatoka ratiba ya vikao na jaji alishateuliwa huo ni upande wa Yanga na mara zote hatujaweza kuona lolote kwenye rataba ya CAS naomba mwenye taarifa baada ya kuingia...
A man can cheat on his woman and still love her but a woman cannot cheat on her man and still love him. I say this because while men do not have sex with emotions, women can't have sex without attaching emotions to it. This is the reason men simply need a place to have sex while women need a...
Wanajamvi naomba msaada wa kitabibu kwani mwili unawasha sana kwa takribani mwezi sasa hadi natokewa na kama uvimbe usiku na mchana.
Sijaelewa nifanye nini na tatizo huenda ni nini. Naomba ushauri
Huyu bwana Nina muda mrefu sana sijamsikia redioni wala TV huku alikuwa nguli kwenye tasnia ya habari naomba mnijuze yuko wapi na anafanya nini ikiwezekana nipatieni mawasiliano namkubali ktk kazi ilikuwa
Kuna ndugu yangu mkubwa tu serikalini mwanzoni alikuwa safi ila kadri miaka inayokwenda sasa anamiaka 43 ameanza tatizo la kutetemeka akiwa mbele za watu kiasi cha kushindwa kushika kitu hata kijiko.
Msaada wenu unahitajika hata namba za simu za mahali tunaomba.
Anakosa raha sana amekuwa...
Nashindwa kumwelewa huyu shaffi dauda amekuwa na tabia ya kubeza tu na kushadidia vya nje bila ya kuwa na ulinganifu na kwa kuwa amepewa forum ya kusema tu anaitumia vibaya sana kukandia wengine bila sababu mfano jana akiwa clouds tv alikataa kutambua uwezo wa kipekee alioonyesha Manjyika Jr kwa...
ndg zangu niasaidie majnia na idadi ya wajumbe wa kamti ya dr costa ricky mahalu niwajue ili from the start nijiridhishe kinachowasilishwa ni cha aina gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.