Imani yako ndio uponyaji wako! Unaweza ukaenda kuombewa na ndevu zisiote kama huna imani mwishowe uwaone watumishi matapeli. Kikubwa hapa ni imani yako!
Jamani mi sifikiri kama ni sahihi kumhukumu huyo dada. Kulingana na maelezo aliyotoa inawezekana kweli swala la dini ni tatizo kwa familia yake si kwake tu.Na katika hali kama hiyo afanye nini kama wazazi wameonyesha kutokubali?
Kuna baadhi ya makabila kwao ni sawa kwa mtu kumuoa binamu yake, mfano watu wa Mafia nina mfano ulio hai. Ila kwa upande wako inaonekana hairuhusiwi ndo maana unaogopa familia ikijua. Ushauri wangu usijaribu kummega binamu yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.