Baada ya kusoma thread nyingi hapa MMU nimegundua kwamba linapotendeka kosa kwenye mahusiano watu wengi wanaelekeza lawama kwa mhusika na kusahau mazingira. Ghafla jana baada ya kukosa usingizi kutokana na kuibiwa saa yangu mpya kabila la Seiko nikajikuta najiuliza hili suali.
Je Vishawishi...
She is like an angel, amejawa na nidhamu
Her smile is special, maneno yake matamu
Highest above level, hakika hanishi hamu
Sticked her my label, awe wangu wa kudumu.
Akiwa karibu yangu, nothing I want more
Yakimkosa macho yangu, my heart always sore
Kama nyota na mbingu, please baby love me so...
Baada ya kufanya resechi wiki 2 mfululizo mimi na ex wangu bila waifu kujua, tumegundua kumbe hata maharage pia yana faida (hii ni habari njema kwa walalahoi), nitazitaja faida kwa kiswahili.
NB: hii sredi yangu naomba isiwe sababu ya kupandishwa bei ya maharage nchini.
Faida za maharage
1)...
Eti wanasema "Heshima ni kitu cha bure", mbona sisi walalahoi hatuitwi "waheshimiwa"? au hatustahili "heshima" au "kuheshimiwa" ?
Wanasiasa bana!
Nilikuwepo!
wasalimieni JF Chit Chat
aaah! mods naomba mic niwakilishe.
oh! baby!
nimekaa na kutulia, mengi nimefikiria
Mawazo yamenijia, tangu tulipoanzia
shairi nakutungia , nielewe my dia
mwenzio ninaumia, please say wewe pia
Kila nikikuangalia, kweli umekamilika
nguvu zinaniishia, nikuite malaika?
moyoni ninaumia, mwenzio...
knock knock JF , leo niko kivyengine
Commited to the life, yangu mimi na wengine
About beautiful wife, wala si kitu kingine
She makes my half, sikieni na muone
Mpe hii mistari waif wako. kama unahisi imetulia, kama nimefuja, rembeeni madongo tu, klorokwini anakubali...
kuna njemba ilikuwa inamkong'ota na kumdunda waif wake vibaya sana mpaka yule mama akawa anaiogopa hii njemba vibaya sana.
kuna siku hii njemba iliumwa ikaenda hospitali na ikatakiwa kupeleka mkojo, njemba ilirudi home na ikatia mkojo kwenye kichupa na kukiweka pembeni ya kitanda. wakati...
mimi ni bonge la mbumbumbu flani hivi.nimejiunga kuskuma miwiki mbele tu. (makofi ,pah pah pah). kuna miblog kibao imeniomba nijiunge nimekataa. nikachagua JF (makofi tena ,pah pah pah).
nikaribisheni basi sio mnauchuna kama serikali ilokosa feza ya bajeti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.