Search results

  1. Analyse

    Wana Yanga. Tukutane Hapa

    Kuna kauli ilitolewa na Mwanachama mwandamizi wa makolo MINOCYCLINE , rejea huu Uzi Yanga SC ikishinda leo na Kufuzu Fainali CAFCC nawakabidhi Mke wangu Mrembo mserebuke nae kwa Siku 3 Wote tunajua hii account ni ya nani humu, so sitokuwa na haja ya kumtaja. Ninachotaka kusema, kwavile...
  2. Analyse

    TANZIA: Mwanachama mwenzetu National Anthem amefiwa na mapacha wake

    Siku chache zilizopita Intelligent businessman alianzisha Uzi wa kumpongeza National Anthem kwa kupata watoto mapacha katika uzao wake wa kwanza Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha Kwa bahati mbaya, taarifa zilizonifikia mida hii ni kwamba hao watoto hatunao tena. Natoa...
  3. Analyse

    Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Hii simulizi, kwa namna moja au nyingine, ina link na simulizi yangu ya kwanza kabisa hapa jukwaani Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha... Maswali mengi ambayo hamkuyapatia majibu kwenye simulizi ile, basi mtayapata kwenye hii ya sasa. Na mengine ambayo hamtoyapata humu, pengine...
  4. Analyse

    Vijana wasasa, bikra tunazichukulia tofauti sana kulinganisha na enzi za wazee wetu

    Inapotokea kwenye mahusiano kuna sintofahamu ya aina yoyote, hapo ndio strength ya bond huwa inapimwa. Mengi hutokea, usaliti, dharau, uongo n.k ambavyo vinaweza pelekea uhusiano kuvunjika. Na panapotokea mgogoro mzito sana, yule aliyekosewa huwa na option mbili, asamehe au achukue hamsini...
  5. Analyse

    Ifike hatua, wanawake muwe na huruma dhidi yetu wanaume

    Muda mchache uliopita nimesikia mambo ambayo yamenistaajabisha sana. Nilienda salun kwa ajili ya kunyoa, kwavile palikuwa na foleni, nikawa nimekaa kwenye benchi nje, nachezea simu huku nasubiria zamu yangu ifike. Pale pembeni palikuwa na salun ya kike, yaliyokuwa yanazungumzwa humo ndio...
  6. Analyse

    Kwenye suala la mapenzi, mabinti wa kitanga ni undisputed

    Unapozungumzia suala la ubishi, wapo watu wengi ambao ni wabishi, ila Waha ni exceptional. Ukizungumzia ubahili, wengi ni wabahili, ila Wapare ni special case. Ukigusa elimu, mikoa mingi inajitahidi, ila Wahaya ni special case. Vivyo hivyo kwenye mapenzi, mafundi ni wengi sana, ila watu kutoka...
  7. Analyse

    Kukosekana kwa ushindani kunafanya tuwe na huduma nyingi mbovu

    Kwa muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali kadhaa, ambayo mengi sikuwahi kuyapitia majibu. Kwa mtazamo wangu, nadhani kukosekana kwa ushindani kwenye sekta kadhaa, kunafanya hata upatikanaji wa huduma hasa za kijamii ziwe mbovu/hafifu. Ushindani ni nyenzo kuu linapokuja swala la huduma bora...
  8. Analyse

    Mwaka unaisha, kama vijana yafaa kuwekana sawa. Tunahitaji kuanza upya

    Mwaka unaelekea mwisho, ila kama ndugu/Jamii moja basi tunastahili kushauriana baadhi ya vitu, ili walau mwaka ujao tuuanze tukiwa na mentality mpya kwenye baadhi ya mambo. Maisha ni magumu, na tunalalamika kuwa ni magumu, lakini approach zetu kwenye baadhi ya mambo ndio huwa zinaongeza ugumu...
  9. Analyse

    Fumanizi la mama mwenye nyumba

    1st Portion: Nimepitia nyumba kadhaa za kupanga, visa na Mikasa ni mingi, ila kuna hii moja sitoweza kuisahau kirahisi. Hii nyumba ipo (ilikuwa) maeneo Fulani, jijini Dar Es Salaam. Baada ya kuoneshwa nyumba kadhaa na madalali, ndio nikaangukia kwenye ile nyumba. Wamiliki ni watu wa...
  10. Analyse

    Binadamu ni kiumbe cha tofauti sana pindi giza linapoingia

    Uwepo wa mwanga wajua una faida kubwa sana kwenye maisha yetu. Pindi giza linapoingia, mwanadamu akili yake inabadilika kabisa kwa 100%. Mwanga wa jua unatusaidia ku-behave vizuri na ku-hide our insanity. Nishakutana na matukio mengi sana mida ya usiku ambayo in real sense huwezi amini...
  11. Analyse

    Pamoja na maandalizi ya hali ya juu na gharama kubwa zilizotumika, data za sensa 2022 hazitakuwa na ukweli kwa asilimia kubwa

    Wote ni mashahidi kuwa Sensa ya mwaka huu ilikuwa na promo sana ukilinganisha na zilizopita, na dhumuni kubwa ni kuongeza hamasa kwa wananchi ili waweze kushiriki. Ila kama ilivyokuwa kwa post code(anuani ya makazi), sensa inaharibikia mwishoni, na data zitakazokusanywa hazitakuwa na uhalisia...
  12. Analyse

    Adult Talks 3: True Love Is Rare, but Exist. Just Know When To Quit Your Nonsense Lifestyle

    Kwenye mahusiano Kila mtu ana mtindo wake wa kuyaendesha. Kuna ambae ni playboy, hana muda wa kusettle na mwanamke kwa muda mrefu, anapiga na kuacha. Kuna dada ambae ameamua kuwa mdangaji, yupo kimaslahi zaidi, yeye ni kutengeneza pesa kupitia mwili wake. But all in all huwezi kuwa Playboy au...
  13. Analyse

    Adult Talks 2: Ukigombana na mpenzi/mume/mke wako usiwasimulie ndugu zako mabaya yake. Wewe unaweza kumsamehe ila pengine wao hawataweza

    Unajua mahusiano yanachangamoto nyingi sana, na hazifanani. Kila mmoja kwa sehemu yake anapitia changamoto katika mahusiano. Sasa inapotokea umefanyiwa mabaya na mtu uliyenae kwenye mahusiano, sio jambo zuri kuyaweka wazi mabaya yake hasa kwa ndugu zako au watu wako wa karibu sana. Unajua...
  14. Analyse

    Sad Truth: Sijivunii na mama wa mtoto wangu

    1st Portion: Na hii sio utani, sijivunii mama wa mtoto wangu. Sio kwamba nililazimishwa kuwa nae, hapana. Na katika kipindi chote nipo nae kwenye mahusiano nilikua muda mwingi anatawala mawazo yangu, na hata kuachana kwetu, ni yeye ndio aliniambia muda umefika nikatafute mtoto mwenzangu wa...
  15. Analyse

    Ni maamuzi gani ya ajabu uliyowahi kuyafanya sababu ya mapenzi?

    Huwa napataga ukakasi sana kuandika about my love life. Na hii inatokana na ukweli kwamba, kwenye mahusiano furaha uwaga tunaiforce sana, nguvu inayotumika ni kubwa ili kuhakikisha tunamaintain furaha, Ila katika uhalisia disappointment ni nyingi Sana. Any way, tuachane na ilo, turudi kwenye...
  16. Analyse

    Karibu JF Mgeni. Naomba nikutambulishe kwa familia yetu

    Sijajua umetumia idea gani kuchagua ID yako, Ila tambua unatumia ID fake, lakini uwepo wako humu ni real, na yale yote utakayo sema humu, yatakuwa yanawakilisha uhalisia wako. So behave well. Mgeni, katika Uzi wowote utakao anzisha humu, wale watu watano mpaka kumi wa kwanza kuchangia ndio...
  17. Analyse

    Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

    Naanza kwa kusema, poleni mliokosa na hongereni mlioona majina. Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina na marks kila mmoja alizopata, huku wakiainisha cut-off points? Tuachane na lile swala la baadhi ya...
  18. Analyse

    Asilimia kubwa ya wanandoa hawana furaha. 80% kati yao either wanajutia or they wish for divorce

    Ipo wazi kuwa katika mfumo rasmi wa maisha ya mwanadamu, huwa unahusisha pia muunganiko wa jinsia mbili tofauti (ndoa). Ila kwa kadri siku zinavyoenda, muunganiko huu umegeuka kuwa changamoto sana badala ya kuwa msaada kwa wawili hao, kama ilivyokusudiwa. Now days migogoro imekuwa mingi sana...
  19. Analyse

    Washenzi wa Afrika ni kina nani? Je, hii ni tafsiri sahihi kwa nyalaka ya dini dhidi ya Waafrika?

    Sitaki kuongea mengi, pitia haya maandishi kutoka kwenye hii nyalaka, ambayo kwa muonekano ni kama vile ni ya Roman Catholic. Ninachotaka kujua, hii tafsiri ni sahihi? Na Je, kama sio sahihi, basi hao washenzi wa Afrika waliokusudiwa ni kina nani? Hii nyalaka nimekuwa nayo zaidi ya mwezi sasa...
  20. Analyse

    Uchambuzi wangu kuhusu kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzie watatu

    Natumai thread hii inakukuta ukiwa mzima wa afya kabisa. Tukirudi kwenye mada husika, kama walivyo wananchi wengine, nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa hii kesi. Mwanzoni wakati nasoma mwenendo wa kesi mtandaoni, nilikuwa napata tabu kuelewa nia hasa ya mawakili wa utetezi, kwa nama walivyokuwa...
Back
Top Bottom