Bado niko undecided.. tena hasa baada ya kuona watu kama EL wanasapoti... ameshaona mwanya wa kubadilisha mambo ili anufaike... Kila kundi lina interests zake... you better explain in details....how we gonna reach our goals...
Hivi kwa mfano leo hii ipigwe kura kuangalia tufuate mfumo wa vyama...
Sema Mzee...
Rhode Island nayo ina maseneta (US Senators) wawili na udogo wake... kwa kiasi kikubwa nakubaliana na CUF ila kuhusu muungano nadhani Zanzibar ingekuwa territory kama ilivyo puerto rico. Bado sijaona sababu za kuifanya Zanzibar kuwa state.
Nitapinga kila kitu kinachohusisha dini...
It depends om how you look at it... serikali inamiliki 100% ya Tanesco. Kama unaendesha nchi kama empire it sounds very stupid kwa idara za serikali kulipa umeme... ni sawasawa na mfugaji kununua mayai yake mwenyewe na baadaye kurudisha hizo hizo hela mfukoni mwake. Plus, serikali bado inaipa...
Nimeambiwa humu ili topic yako iwe na viewers wengi for somehow you have to find a way to link with Zitto... hahaha. Anyway, sina haja hiyo topic yangu niliyoanzisha zaidi ya miaka mine iliyopita ndiyo inayoongoza humu wa Replies/Views. Mwanakijiji upo hapo...
Sasa hapa sijui nani ambaye hana akili timamu, kati ya wewe na wao walioipigia kura CCM. CCM imetawala miaka 33 toka 1977 na siyo 50 kama unashindwa simple math na wewe pia unahitaji medical attention. Ofcource dawa haziko mahopitalini ziko kwenye pharmacies... kama wewe na akili zako unaenda...
Well, Hivi kama mnataka chama chenye wanachama (5 millions) kati ya 40 kimeguke yaani kuwe na vyama viwili kimoja 2.5mil na kingine 2.5mil mnatakia kweli taifa mema? Yale yale mambo ya kuombea mabaya yatoke ili tupate mambo yakuongea. Kwa upande wangu ningependa angalau CCM ingekuwa na wanachama...
JF kwenye ni burudani....magari yanayoingia kwenye bajeti ya matumizi ya waziri mkuu hayazidi matano inafurahisha kuona eti kuna mtu analiingiza gari ya RPC kwenye bajeti ya waziri mkuu.. hii fweza ya matumizi haya inapitishwa na bunge hapo inaonekana wakati wa bunge watu mlikua mnasoma fugures...
I didn't know if you set the time limit for my answers. From my understandings the future has no limit. Usiwe na wasiwasi ndugu yangu humu kwenye forums haondoki mtu tutakuwepo mpaka mwisho. Majibu ya maswali yote watu walioniuliza humu yatajibiwa huko mbeleni. Nakumbuka na ile issue ilikuwa kwa...
Ungekuwa na uwezo wa kutofautisha Chama cha Siasa, Serikali, na Chama tawala ungekuwa na msaada mkubwa sana katika kupambana na matatizo yaliyopo. Au kwa kuwa unajua watu wanaosoma mawazo yako wanaamini chochote unachooandika? Labda tu nikuulize ni kwa nini EPA hukuiingiza kwanye wezi wa BOT au...
Mwanakijiji,
Niliposoma post yako mara ya kwanza nikaona sasa umeanza kuchanganyikiwa ila baadaye nimegundua unataka kuonyesha kuwa pamoja na kuwa CHADEMA ina wakurugenzi wengi kutoka Kilimanjaro lakini haimaanishi kuwa ni chama chenye ukabila.
Kwanza lazima uelewe wajumbe wengi wa Kamati kuu...
Sidhani kama huyo mbunge amesema makampuni mengine ya simu yanalipa kodi. Najua kampuni kama Tigo inastahili kuwemo kwenye "tax holiday". Mbunge amezungumzia urefu wa tax holiday. Hoja yake ameijenga vizuri baada ya kuweka figures ambazo zinaonyesha ni kiasi gani Vodacom wanapata kutokana na...
Bubu ataka kusema,
Hivi kweli watu wenye kipato kidogo wanalipa kodi Tanzania? Naomba uziorodheshe kodi wanazolipa na viwango ili tuanze kuzipigania hapa.
Halafu kuna jambo jingine hapa inabidi tuwe wazi, unapokuwa mfanyabishara lengo lako kubwa ni kupunguza gharama na kuongeza kipato. Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.