In brief tanzania position yake ni mstari wa mpaka upite katikati ya ziwa mpaka usawa wa mto ruvuma na position ya malawi mpaka wote ni wao kwa mujibu wa article I of heligoland treaty. Sisi pia tunaitumia hiyo treaty kupitia Article VI. Sasa issues nyingine oh tulikuwa wapi siku zote ni...
Haya mwambie baba Michoo naye asubiri 2015 naye wakafanye biashara na binti na mchumba wake. Huyo mwanamke a,baye ni mchumba aliezaa naye ni business woman. My take? Shut up
Tundu Lissu ni toto tundu ambaye he is an embarrasment to the legal fraternity and he has no manners at all. uncouth and primitive at best. Ni mwanasheria yupi anayeongoza maandamano kupinga uamuzi wa mahatma loo!
Mimi ni CCM lakini Jairo alitakiwa tangu jana awe amejiuzulu. Ngeleja na Malima nao wawajibike. Haiwezekani Katibu Mkuu achukue maamuzi hayo wao wasiyajue. Hata kama hawakujua wanatakiwa kuwajibika. Alipoachia ngazi Lowasa ilibidi Msabaha na Karamagi nao wangoke. After all Jairo kama hajafikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.