Ukweli ni kwamba UTUMISHI ukiwa na maandalizi ya zima moto then ukafanye zile paper utaishia kusema ni rahisi na status inasoma NOT SELECTED, na kuona watu wanapewa paper, kikubwa ni kusali sanaa, kufanya maandalizi ya kutosha, utaona matunda yake, nilikuwa muhanga wa not selected, nikakaa chini...
hahahahahahahah hatuishiwi lawama, kikubwa ni kuvuta subra na kumuomba mungu ila kwa hakika utumishi wanajitahidi sana kupunguza ukiritimba wa ajira, mimi kwa upande naamini bila UTUMISHI nisingekuwepo hapa nilipo. Mi namshauri aombe Mamlaka ya Ngorongoro nadhani wako vizuri kimshahara hata...
Ila si muda wote wanaweka majina kuna muda wanapigia simu tu au pia wanaweza kuaza na simu then wakaweka majina, kumpigia cm mtu haimaanishi kabebwa kwani huyo alokuambia kapigiwa simu hakuwepo kene interview??? Mfano ajira za mwisho za eGA walianza kuwapigia simu wakachukue barua zao ikapita...
Ivi wakulima wa korosho washalipwa pesa zao?? Maana mkuu alisema pesa ipo atanunua na kuwalipa hakuna mkopo, ila kwa ninayoyasikia uko mtwara, lindi mambo c shwarii. Mungu ibariki Tanzania.
Wewe utakuwa mmoja wa hao mafisadi wa BM, Ishu sio ku build profile yako, ishu ipo kuona zile notifications baada ya kuomba kazi,wanakuambia upgrade account kutoka basic to premier job seeker ambayo unatakiwa ulipie Tsh 30,000 per month kama c utapeli ni nini,
Wanamuitaji LAND SURVEYOR II wa aina gani mpaka apatikane mtu mmoja tu alio qualify kuitwa kufanya usaili kati ya hao walio apply kwa hatua ya mwanzo kama hii??
Sawa ndugu mahali hajatoa ila kamnunulia smart phone, inatosha kutoa style zote mahali ni taratibu tu za kukamilisha ndoa, but they consume more....!!!
So sad wadau hapana tofauti sana na soko la buguruni, maana kwa sasa sio tena nguo na viatu ni mwendo wa nyanya, vitunguu, karoti, banana mbivu kwa mbichi, matikiti, mafenesi mananasi yaani kila aina ya bidhaa inawekwa road, hii ni hatari kwa watumiaji maana yale maji yanayotiririka c salama...
Hao empower wameacha kale katabia ka kutoza tsh 10000 ya registration??? Naona kama na wao ni chenga tu maana kuna jamaa angu aliomba junior position kaitwa kene interview senior position alipowaulizi vipi akaambiwa ni kweli hii nafasi haukuhusu alilipa tshs 10000 kama registration fees et...
Ushamlipia msosi canteen mara ngapi mkuu, angalia usijeikacha familia yako uko kishumundu kisa mdada wa chuo, kumbuka mama ako, mkeo na mwanao wanakuangalia wewe mkuu, afu mbona wachaga hawako kama wewe, au ndio wachaga wa mwendokasiiiii.....
Pole sana mkuu ila mbona kuna watu wamepigiwa cm pamoja na kutumiwa email? Mimi nilikuta miss ya namba yao nika google nikakuta ni wao.Pia nilicheck mail nikakutana na sms yao.Pole sana ila kutembelea website zao ndio mpango mzima maana hata UTUMISHI wao hawatumi sms wala kupiga simu.
Oa tu kijana ila ako kamchezo acheni kabisa nadhani hata huo upasuaji ulisababishwa na fail ya kusukama mtoto kwa njia ya kawaida so ni hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1).
Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.