Sijaelewa Royal Tour na issue ya Covid vs Magufuli yanaingiaje? Na huyu Mzee anajuaje Magu alipata Corona?
Angalizo: Mzungu anasema he contracted Corona lakini hasemi he died of it
In my opinion mwendazake aliweka watu ambao sio CCM by origin kwa kuwa CCM was rotten to the core (Kinana etc) sasa wenye chama (rudia twitter post ya Nape) are back in full force.
Polepole by miles. Hivi Nape alishawahi toa mchango wowote wa manna hata bungeni? The main contribution he has ever had ni 'bao la mkono
' na kulala pirini akikipigania chama (kwa kadri ya manen yake)
The issue with Polepole ni kwa sasa anaonekana he is bitter about something na medium of...
Safi ingawa safari hii the thing is all over the place, inachanganya kupata mtiririko wa maana kwani kuna sehemu zina miss, ila thanks Lege, bora tungekuwa patient humu ndani mzigo ungeletwa kwa style ile ya awali
Story imeanza upya, huyu Peniela vipi? Mbona ye alimgonganisha blaza Eli na Jason na akawalimisha waongee kiume wayamalize? Na kwanini Matthew mpaka sasa hajamwambia kisa cha Eli na Naomi kwamba why it happened?
I still see them ending up together anyway, alikiri hadi kwa John kuhusu upendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.