Hii Gari nzuri Sana iko poa kuanzia ndani ina seat 7 hvyo Kwa nafasi ya ndani ni nzuri na kubwa inatulia barabarani Kwa sababu ni nzito na ni Pana kwenye swala la ajali labda mechanical failure na uzembe tu Ila iko poa Sana Kwa ubaya mi nazani labda ni kwasababu wameinyima spare tyre tu japo...
Sawa nimekuelewa Ila hii ni ya Diesel vilevile nimejaribu kuiset kila namna na najaribu kuikaza lakini inajiongeza na kujipunguza yenyewe na kuhusu vitu sija iunganisha na chochote
Habari zenu wadau Nina Generator yangu Kampuni ya Boss baada ya kuifanyia Marekebisho imewaka tatizo linakuja nnapo iwasha ina Jiongeza na kujipunguza Less yenyewe hivyo haitulii katika Hali moja Msaada wenu tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.