Mmmmh hizi sasa ndo dalili za uchawi kidogo kidogo,tabu yooote ya nn kuigeuza K yangu upofu?niweke ndimu kwenye K mara K inapotea ntafanyaje?ushaambiwa ukimchunguza bata huto mla,kumchunguza kote huko ili iweje?akuuu Mume wangu nampenda haya mambo ya kuhisi yashindweeee kabisaaaa,kama anafanya...
mm nilikuwa mmoja wa watu wenye tatizo hilo na sasa niko fit kabisa baada ya kupata tiba mbadala. kwanza anatakiwa kujua sababu hasa ni nini mpaka anakosa cku zake? inaweza kuwa ni unene, maybe aliwahi kuzaa baada ya hapo ikapotea toka alivyojifungua, pia hili si tatizo dogo kiukweli ni tatizo...
Shamba linauzwa kwa bei cheee, wahi sasa mapemaaaaaaaaaa arthi ni mali, shamba liko kiwangwa bagamoyo, bei nafuu sana, millioni moja kwa acre, kwa maelezo zaidi ni pm.
Pole sana,ugonjwa wa mapenzi unauma sana coz hauna dawa,zamani walikuwa wanalalamika sana wanawake lkn nowdaiz wanaume inawatokea,mm nimekuelewa sana lkn c kila mwanamke ni limbukeni kama huyo mkeo(sorry to say zis)imeniuma sana 21yrs watoto unao unahangaika kutafuta nn?mmejaribu kuongea na watu...
Pole my dear,naelewa uko kwenye situation gani,kwakweli inaumiza sana lkn kumbuka kila lenye mwanzo lina mwisho wake,mwanamme kucheza mechi za nje ni yule asiye na heshima na mkewe,najua wengiiiiii wanazicheza lkn wengi wao hao wenye mapenzi na familia zao hujutia sanaaaaa baada ya mechi hizo,na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.