Search results

  1. L

    CCM: Ni Nani Amewadanganya 9x0=90?

    Ccm ni genge la vilaza !
  2. L

    Hatimaye Mbowe apewa dhamana

    Wanadhani wanamkomoa Mbowe, wanadhani wanafifisha umaarufu wa Cdm, wrong calculation. . . . . Wanaishi kwa mbinu na mitazamo ya kale sana.
  3. L

    Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

    alipotoka Nganza , aliletwa Kwiro Mahenge, alituletea zawadi ya magunia ya Dagaa ! Alikua mkali sana , alitisha kama Simba . Alikua mcheza volleyball wa aina yake. . . . Magambo alipokuja Kwiro ndo akapachikwa jina la Mbwiko .
  4. L

    Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

    Mmenikumbusha mbali na hayo majina. Nilikua Kwiro secondari, headmaster wetu aliitwa Antony Magambo, sie tulimwita Mbwiko, mpaka leo sijui maana yake! Alikua mkali kama pilipili, hakua na kosa dogo , ni bakora kwakwenda mbele. Alitunyosha hakika. . . . Mungu ampe maisha marefu popote alipo.
  5. L

    Kutokana na kuripoti ukweli wa yaliyojiri Arusha, Radio One hatarini kufungiwa

    Hivi Rostam anamtoto wa kike ? mi nataka kupunguza machungu
  6. L

    Kikwete ni Masiha

    Kikwete Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tz, ni masiha wa wapuuzi, wapotovu, na watu wenye mawazo yenye matege. huyo labda ni masiha wa Kifo, na maangamizo.
  7. L

    Wino Utakaoandikia Katiba Mpya (TZ) Ni ile Damu Iliyomwagika Arusha

    ukombozi hauko mbali nasi, upo karibu, tunahitaji kuunganisha mikono , tukiwa na dhamira safi , hakika hakuna wakutupinga.
  8. L

    Mpasuko Chadema

    mAKAMBA BWANA, unanichekesha sana, hahahaaaah
  9. L

    Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

    Waislamu ndugu zangu, mbona tunamatatizo mengi kijamii yanayohitaji utatuzi wetu wala sio kulialia kwa wakristo, mbona tunatafuta huruma katika maswala ambayo tunaweza kutatua wenyewe ? ni ujinga kwakweli
  10. L

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    Asanteni kwa hiyo Tsh 8.5m inatosha kununua hiyo gari.
  11. L

    Elections 2010 Dr. Slaa in Mbeya (picha)

    SHIMBO , PRESSURE INA PANDA , PRESSURE INASHUKA
  12. L

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    Asante Danzi, nashukuru kwa hayo.
  13. L

    RIZ1 Kikwete anamiliki nyumba aliyonunua bilioni 1?

    huyu mtoto amekuwa chambo pale IMMA, AKILINDA RASLIMALI ZA MAFISADI HAPA MJINI.
  14. L

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    Nilikuwa naangalia mitandao mbalimbali ya magari ambayo wanaleta magari used hapa Tanzania. Bahati nikapata mtandao ambao umenivutia, una magari yanayoonekana ni mazuri kwa picha, lakini kwa kuwa uelewa wangu juu ya biashara hii ya magari ni mdogo, naomba wenye ufahamu mnisaidie. Je, Toyota Opa...
  15. L

    Fahamu historia ya Mama Sophia Mathew Simba

    kifupi hata mie naanza mkakati wakutafuta mawasiliano nae ......hahaaaa mama Simba bana.
  16. L

    G 55: Aliye na majina yote atukumbushe

    Mdini , udini, ujinga..... uhafifu wa mawazo
  17. L

    Kama CCM yajiamini, mabilioni ya nini?

    hoja ni nyepesi saana , CCM inarise fund wakiwa na lengo moja tu, kununua kura ...naamini CCM katika uwanja sawa haina ubavu wakushinda chaguzi kwa kishindo kama ilivyotokea 2005, wanahonga mawakala wa upinzani, wanahonga waiga kura, wanatumia ujinga wa Watanzania kuwapitisha na kushinda chaguzi
  18. L

    Malumbano ya Spika Sitta na Mzee Mrema

    naona kama Mrema anaelekea kuchanganyikiwa, namuona ni kama mtu anaehitaji faraja na upendo
  19. L

    Wanataaluma Wakristo watoa waraka wa 'Tafakari' kabla ya kuichagua CCM

    naamini kuzaliwa Mkristo ni bahati na baraka, kuzaliwa Mkristo peke yake ni ishara ya mtu mwenye akili timamu, mwenye mapenzi mema, mtu anayeweza kuona mbali tena mbali sana, mwenye kuyaona maisha katika mwanga wa ajabu. ninaamini hao wanataaluma Wakristo wanamaono sana....wanaiona nnchi hii kwa...
Back
Top Bottom