alipotoka Nganza , aliletwa Kwiro Mahenge, alituletea zawadi ya magunia ya Dagaa ! Alikua mkali sana , alitisha kama Simba . Alikua mcheza volleyball wa aina yake. . . . Magambo alipokuja Kwiro ndo akapachikwa jina la Mbwiko .
Mmenikumbusha mbali na hayo majina.
Nilikua Kwiro secondari, headmaster wetu aliitwa Antony Magambo, sie tulimwita Mbwiko, mpaka leo sijui maana yake! Alikua mkali kama pilipili, hakua na kosa dogo , ni bakora kwakwenda mbele. Alitunyosha hakika. . . . Mungu ampe maisha marefu popote alipo.
Kikwete Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tz, ni masiha wa wapuuzi, wapotovu, na watu wenye mawazo yenye matege.
huyo labda ni masiha wa Kifo, na maangamizo.
Nilikuwa naangalia mitandao mbalimbali ya magari ambayo wanaleta magari used hapa Tanzania. Bahati nikapata mtandao ambao umenivutia, una magari yanayoonekana ni mazuri kwa picha, lakini kwa kuwa uelewa wangu juu ya biashara hii ya magari ni mdogo, naomba wenye ufahamu mnisaidie.
Je, Toyota Opa...
hoja ni nyepesi saana , CCM inarise fund wakiwa na lengo moja tu, kununua kura ...naamini CCM katika uwanja sawa haina ubavu wakushinda chaguzi kwa kishindo kama ilivyotokea 2005, wanahonga mawakala wa upinzani, wanahonga waiga kura, wanatumia ujinga wa Watanzania kuwapitisha na kushinda chaguzi
naamini kuzaliwa Mkristo ni bahati na baraka, kuzaliwa Mkristo peke yake ni ishara ya mtu mwenye akili timamu, mwenye mapenzi mema, mtu anayeweza kuona mbali tena mbali sana, mwenye kuyaona maisha katika mwanga wa ajabu.
ninaamini hao wanataaluma Wakristo wanamaono sana....wanaiona nnchi hii kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.