Kwani uliwahi kumwambia utamwoa? Na maugomvi yalikuwa ya nini? Mi nashauri songa mbele utampata wako akupendae. Ila kuwa serious katika mahusiano. mambo ya kazalisha bila kuwa na commitment si mazuri.
Asanteni sana.
Kuna Wadau wamenikopesha tena bila masharti na January nazirudisha. In fact nimepata zaidi ya nitakazo:
$ 10,000 + TZS 3.5M + TZS 2.5 M + TZS 2M.
Kumbe Mujini napaweza.
Mbarikiwe wote mliotoa michango yenu hapa.
Asante sana wadau.
Nimejaribu Equity; CRDB; FNB; Azania; Barclays; KCB; DCB kote wanalietea mapause! So nimewapotezea!
Kuna Mdau kanipatia TZS 5M bila masharti namrudishia January 2013. So bado natafuta TZS 5M.
Shida ni kuwa Hati haiko katika jina langu japo nyumba ni yangu. Niko katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.