Alishaulizwa na waandishi wa habari akajibu kuwa lazima kusuport upinzani ili waikosoe serikali kwa ajili ya maendeleo ya nchi. Na chadema ndio chama chenye kuonyesha upinzani wa kweli dhidi ya chama tawala. But yeye bado ni mwanachama wa ccm.
In short hilo jimbo since 2005 lilibidi liende kwa CHADEMA, but kutokana na wananchi hawakua na mwamko wa kutosha kama hivi sasa, matokeo yalibadilishwa usiku wake. But this time wananchi wa nyumbani karagwe wamesema BIIGG NNNOOOO, hatutaki mpaka kieleweke mshindi wetu tunamjua tumemchagua wa...
Happy Birthday to you again DR. SLAA. Tunauhakika kuzaliwa kwako katika tarehe hio ambayo ni siku muhimu leo hii katika mapambano yako ya kuwania Uraisi si jambo dogo.
Tunashukuru mungu katupatia mtu muhimu sana kama wewe katika nchi yetu inayokuhitaji sana.
TUPO PAMOJA MORE THAN 100%.
I dont think if u guys can perform there like you do in UK, what i know ccm members in UK do not have permit, jobless, bankrupt so they just hide in CCM with a hope of getting money and other basic supports.
POLENI SANA, RUDINI TANZANIA NDIO MUONE HIO CCM MNAYOIFAGILIA HUKU UK.
if that the case ni balaa, so we can link thats why vigogo wa zamani wameamua kustep asside bse they no, moshi unafuka soon moto unawaka.
Tunamkumbuka Hayati Horace Kolimba sana sasa.
Habarini bandugu, nilipenda kujua kitu kimoja, juzi siku ya jumapili nilikuwa maeneo ya mwananyamala kituoni nasubiri daladala kuelekea stesheni nikaona vijana wadogo wako kikundi kama 30 hivi wana mnadi mgombea wa kinondoni kupitia tiketi ya CCM. Kwa umri niliowaona sidhani kama alikuwepo...
bandugu, niliongea siku moja kuwa urafiki ni mbaya sana usipokuwa na kikomo, urafiki hadi kwenye usalama wa taifa, kuweka watu ambao wasio na elimu na uzoefu wa idara hiyo, sasa hilo ndio tatizo lake bwana. Sio idara hiyo tu, idara nyingi wamewekwa watu ambao hawafai kabisa na ndio wamechangia...
It is very very sad kusikia hio, mwanzo sikuamini mpaka nilivojaribu kusikiliza RFA huku kwetu, arnd 3 billion ndio gharama za kuwaleta hao majamaa' najiuliza hivi kuna faida gani tutakazopata kwa brazili kuja hapa kucheza na sisi.
Si bora hizo hela zingetumika kununulia dawa na vitanda...
Je kwa hao viongozi kuingia mitini wataadhibiwa, au ndio usanii uliofanywa makusudi waingine mitini then ijulikane wao ndio wamekimbia kumbe ni usanii wa serikali yetu.
well na yeye mbona alituingia mitini hapa UK badala yake akaenda kuangalia mpira ???
Daaahh siamini, but kila kitu chawezekana. The guy was the one to chair presidential sit, lakini bse ya mizengwe na majungu ya CCM hakufanikiwa.
Ni kati ya viongozi wachache bora na wenye maadili mazuri aliyebaki TZ kwetu.
Let us C and GOD bles him.
Hapo ndio inabidi Mr. JK aamke na kutafakari kwamba kazi alizotoa kwa kujuana katrika idara nyeti za ikulu na usalama wa taifa kwa watu ambao hawako qualified ndio itakula kwake mwenyewe mwishowe.
Tujuavyo kwa mtu nyeti na muhimu kama yeye, swala kama hili haliwezi tokea kamwe. Je wangekuwa...
Kweli una magezi (akili), bandugu ndio tujue ya kwamba CCM ipo kwa maslahi yao tu. Hivi hawakuona umuhimu wa kuita harambee ya vitu kama:
1. Ununuaji wa vitanda mahospitalini.
2. Uboreshaji wa zahanati hasa za vijijini.
* Wao wameona umuhimu ni kuita harambee ya kuchangia CCM ishinde lakini...
As what i see bandugu, Nape is a good character ila tatizo mahala alipo ndio pabaya, na kama tujuavyo mwenyekiti halisi wa CCM bwana EL aligombana na Nape bse he was against ufisadi wa jengo la umoja wa vijana.
For this reason, he will not stand as candidate.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.