Hiyo ni operation tofautisha na shughuli au sheria za kiraia kidogo kwa mfano operation haina gate ya ukaguzi, mizani wala kibao cha 50 kwa hiyo muizoee[emoji120][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Una korosho? Umepima chama gani cha msingi? Unaposema hali ni tete kwako au kwa wakulima wote wa korosho?Wewe ni msemaji wa wawakulima? Good news ni kwamba kila aliyepima korosho amelipwa kupitia akaunti yake na ni siri ya mtu unachokisema na uhalisia are quite differ watu wanalipwa kila uchwao...
Concept yake ni kwamba kafika Mwanza ameyataja mengi ambayo hata mimi niliyaona nilipofika Dar kama uchafu,Stand ya ovyo ya mikoani kama Ubungo,Mbagala rangi tatu pia kuhusu uchafu ndio usiseme [emoji120][emoji41]
Wamefanya vizuri sana TAMISEMI maana ukiritimba ulikuwa mkubwa sana watu kubadili vituo hovyo hovyo mlundikano wa watumishi wengibshule moja hususani mijini au barabarani sasa naona wamelenga #Ngarenayuki na peripheral of the peripheral
In additional Dsm ndio waliko matajiri wengi ata miundo mbinu ya kuwafikia ni rahisi na most people ni waelewa pale compared na mikoani ambako wamekariri elimu bure so wasiguswe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.