Kuna binti mmoja nimekua nae kwenye mahusiano katika kipindi kisichopungua miaka miwili na nimekua nikimsapoti kwenye mambo yake mbalimbali yanahusu pesa na hata yale yanayohitaji tu ushauri.
Kwa siku za hivi karibuni nimeona kapunguza mawasiliano ila akiwa na shida ya kifedha anakuwa active...
Kwahiyo wewe unawasiliana na ex zako sababu upo wizarani kuvia tender sio ??? Hatuwezi kuwa sawa bro mana kila mtu ana taratibu zake katika maisha.Wakati wewe unategemea ma ex kuendesha maisha yako wengine hatupo hivyo.U
Namba ya ex ukibaki nayo wewe tu kwenye simu yako inatosha.
Kwahiyo wewe unawasiliana na ex zako sababu unavizia tenda wizarani sio ??? Hatuwezi kuwa sawa bro mana kila mtu ana taratibu zake katika maisha.Wakati wewe unategemea ma ex kuendesha maisha yako wengine hatupo hivyo.Unadhani mkeo anakuchukuliaje anapoona unawasiliana na ex zako ? Je na yeye...
Kilalakheri dada ukampate mwenye mapenzi ya kweli ili mkaanzishe familia iliyo bora, ila kuwa makini huko inbox mana wahuni ni wengi watakaokuja kwa gia ya ndoa kumbe ni hit and run.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.