Hakuna cha Magufuli mdogo.Chama ndicho inampa umaarufu kwa siku zinavyokwenda atakumbana na kiski hadharani ambacho kitamfaya ajitafakari.Anachofanya ni drama na kwa kuwa Watanzania wanapenda drama watakwenda kumsikiliza.Atakutana na Mtendaji wa serikali aliye ma msimamo na mbele ya hadhara...
TBC mpo serious kweli? Mnakata matangazo ya Bunge mnaweka shughuli za Mkuu wa Mkoa?
Unakata matangazo ya Bunge unatunganisha na shughuli za Mkuu wa Mkoa Mbeya, kweli?
Nimejaribu kuilipa NSSF kupitia app za NBC na CRDB banks lakini zote zinagoma.
Nimejaribu kuingia Tausi portal ,inazunguka tu.
Ni mimi tu au kuna mwingine kaliona hili?
Nape alijitokeza na kutishia wote waliouliza kuhusu alipo Makamu wa Rais. Kwa kipindi kifupi alipigwa spana Tweeter za kutosha.
Hazikuwa spana kavu bali na vifungu vya sheria na katiba na kidogo wakampekua hata mambo yake mengine. Ametulia!
Chalamila alijivika Uamiri Jeshi (kwa cheo cha...
Gereza ni sehemu ya kuwahfadhi watu ambao wameshindwa kuendana na jamii na ho wapo wa aina nyingi mpaka wauaji ni wengine wenye matendo maovu kabisa.Uasi ndani ya gereza unaweza sababisha watu hawa kutoroka.Naamini ni lazima wazuiaji wa fujo za gerezani wawe watu imara na wenye ujuzi wa kutosha...
Mohamed Janabi umeitendea haki elimu yako kwa kuwaelimisha Watanzania na walimwengu kuhusu magonjwa yasiyoambukiza ambayo mengi yameongezeka kutokana na mwenendo wetu wa Maisha.
Pamoja na kejeli na kawaida yetu waswahili kupuuza kila kitu mpaka kikukute alkini hujakata tamaa.Umetumia kila aina...
Unajua fika kuwa kwamatendo yako una maadui wenye uwezo,je uta expose family yako?La pili unanyoosha watu kila siku kwa dunia ya leo kosa moja la mwanao linaweza kuharibu mipango yako yote.
Yote kwa yote wanafaidi pepo wakiwa duniani,sidhani kama wana shida yoyote
Ni mjasiriamali na nina uzoefu mkubwa na biashara ndogo.Kwanza ni tabia ya kuanzisha biashara kwa kuiga.Pili ni uridhika haraka kiasi ambacho hata kuipa facelifting biashara yao hufanyi na la tatu ambalo ndio kubwa hasa ni NIDHAMU YA UWEKAJI NA MATUMIZI YA PESA.Hapa tunachemka mno na ndipo...
Mambo matatu makubwa.Moja nguvu ya pesa-aliyeibiwa gari ni tajiri wa kihindi.Wapelelezi wametoka Dar kutafutamgari ya tajiri.Ibiwa uone kuwa utapata msaada huo.La pili ni weledi wa askari wetu.Wamexhindwa kumgundua mwizi wanayemtafuta na wakafananisha.La tatu ni kutokufuata sheria.Polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.