Huyo Muhongo wako ndiyo adui wa maendeleo na watanzania tunamjua sana hususani watu wa Lindi,Mtwara na Ruvuma,,, ni mara elfu afadhali vitalu vya Gesi na Mafuta akapewa Mengi kuliko kuwapa hao wazungu wenu mnaowaita wawekezaji huku ccm mkizunguka na kuchukua pesa kwa hao wawekezaji wenu kupitia...
wazimu mtupu, kampuni za simu ndiyo moja ya zisizolipa kodi ipasavyo,ninauhakika serekali wakiacha rushwa rushwa zao na wakakusanya kodi ipasavyo kwenye hizo hizo kampuni za simu tu watapata pesa zaidi ya hiyo 178 billion.
Hii hapa chini ni post ya January Makamba toka kwenye facebook wall yake: Masaa 2 yaliyopita.
Yaliyojiri leo Mponde, Bumbuli:
Tarehe 26 Mei 2013, wakulima wa Chai Bumbuli waliazimia kumkataa mwekezaji/mbia kwenye kiwanda chao cha Chai Mponde ambaye wanaamini alikuwa anawadhulumu. Pia...
Sizani kama akili inapimwa kwa vidato vingapi mtu kasoma....ila cha msingi tu ni kwamba watanzania wa sasa si wajinga wa kutopambanua mambo kama viongozi na chama tawala wanavyojiaminisha, hata kichaa anayetembea uchi kamwe hawezi kumbeba nyoka toka kichakani halafu akamweke ndani ya blanketi...
Sio kosa lako wewe ni mtu wa kuhurumiwa tu....yaani unavoandika kama ulikuwepo soweto wakati tuliokuwepo tulijionea fika polisi walichokifanya. Chris mtumikie kafiri upate riziki yako tu mkuu ila unachokisema hata ukimweleza mtoto wa primary school hapa Tanzania atakucheka sana.
Toka post yako ya kwanza tu ulipoanza kutiririka nimegundua kwamba issue ya Dar ea salaam ni swaga tu za kuingilia ukumbini ila lengo lako kuu ni hapo penye red.
Waacheni wazanzibar wajitenge bwana kwanini mnawakatisha moyo jamani???...tuwape moyo wajiondoe kwenye huyu kupe Tanganyika anayewanyonya kwa miaka mingi, mimi nawaombea sana wajitenge hata leo tena wamwambie kabisa Obama si yuko hapa leo na kesho ili awasaidie kupata nchi yao.
Mkuu PakaJimmy ninachokifahamu mimi ni kwamba kuna gari maalumu kwa ajili ya kusafisha barabara kwa maji,yaani zinatumia maji kusafisha barabara japo sijawahi ziona hapa nchini kwetu,hope ndiyo hicho kinachofanyika wadau wanakiita kupiga deki.
brain yako haiko sawa,hivi wewe ukipatwa na msiba waga unaacha maiti ndani kabla ya kuizika unakwenda kazini??? Viongozi na wabunge wa Chadema tupo nao hapa Arusha kwa jili ya maombolezo pamoja na maziko ya wanachama wenzetu,hadi sasa tupo kwenye msafara wa kwenda kumzika marehemu Judy william...
Hii kauli sio kabisa na haifai kutolewa na kiongozi yeyote yule hata balozi wa nyumba kumi, ila inatia huzuni sana kwa Tanzania Waziri mkuu ndiyo anatoa kauli kama hii.Sasa ni wazi kabisa tumefahamu ni nani anaewatuma polisi kutupiga na hadi kutuua wananchi.Hakuna Risasi,vifaru na hata majeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.