Hahaa Malinzi alihamishia TFF kwenye jengo la kupanga (PPF tower posta). Bahati nzuri FIFA wakatonywa wakawaambia warudi mara moja pale Karume.
Uwezo wao huo wa kufikiri.
Assume next year Kiba yupo MTV, hatahitaji kura za Team Diamond ? Mi simpenzi wa muziki kihivo, ila naona dalili za kudidimizana.
Kiba Team na Team Diamond bila uzalendo mtakua mna badilishana zamu ya kuumizana wenzenu watawacheka.
Assume next year Kiba yupo MTV, hatahitaji kura za Team Diamond ? Mi simpenzi wa muziki kihivo, ila naona dalili za kudidimizana.
Kiba Team na Team Diamond bila uzalendo mtakua mna badilishana zamu ya kuumizana wenzenu watawacheka.
Sikuwahi kufikiria mwanamuziki wa Tanzania atakubalika Nigeria. Sikufikiria zama hizi kuona channel ya Kifaransa inacheza wimbo wa Mtanzania tena mpya.
Badala ya wanamuziki wa bongo kumchukia Diamond, wamuige na kumshukuru, keshafungua njia.
Kaza buti usife moyo Bro. Hawakuwezi wanafunga...
Jaman Chaga SACCOS kwani Slaa, Lissu, Mnyika, Salim Maalim, Professor Baregu, Professor Safari, Adv. Marando etc ambao ndio viongozi wa juu ni Wachaga ?
Nadhani badala ya kumshambulia uchambuzi juu ya umuhimu wa kutumia helicopter na faida zilizo patikana tangia utaratibu huo uanze vinatosha.
Tusiwe km wale tunaowasema kwa kukimbia hoja na kutukana kwa kuita watu Tumbili halafu baadae wanajiuzulu kwa jambo hilo hilo.
Hoja kwa hoja no jazba...
Huge transaction to Politically Exposed persons is suspicious transaction and ought to be reported to FIU according to Ant Money Laundering Act. what about this
Mimi ni wa Hai, Mbowe Mbunge wangu ila sikuelewi.
Usifikiri watu wa Hai ni sawa na wa ma jimbo mengine unayoyajua wewe ndugu yangu.
Wana Hai wanajitambua hasa. Tena vyama wao sio hoja ya msingi ila sijasikia malalamiko kama yako, sanasana wanajivunia kijana wao kulitumikia taifa.
Bahati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.