Mama wa kambo amchoma mtoto wa mumewe kwa kutumia mwiko, na mateso makali kumpa, ikiwa ni pamoja na kumg'ata meno, kumfinya mwili mzima, hatimaye mama huyo atupwa lumande.
Ujumbe wazazi tuwe na huruma hata kama mtoto si wa kumzaa wewe, je angekuwa mwanao anafanyiwa hivyo wewe ungefurahia hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.