Mie nashangaa sana eti unakuta humu kuna mijitu ina akili timamu kabisa na imesoma mpaka vyuo halafu jitu linakuja kuoa demu asiye na bikra hata moja! Yaani wahuni walishavunja komeo la mlango wa mbele na kuhamisha bawaba za mlango wa nyuma😆😆😆
Hapo kwenye point ya mwisho kabisa nakazia..!!!
#Okoa kibunda chako pia okoa afya yako ya mwili na akili - kataa ndoa, kataa mahusiano ya mchongo hamia CHAPUTER
Ukiwa na umri mdogo halafu huna majukumu au huna kazi ya kufanya pengine bado unaishi kwenu au kwa shemeji hapo unaweza kushinda unachart na kukesha unaongea na simu na mademu ila kama umeshaingia kwenye harakati za maisha na una majukumu mengi huwezi kufanya huo upuuzi!
Mkuu mbwa wa kienyeji mbona wapo wengi tu wamezagaa mitaani wanakula mavi ya walevi!
We nenda maeneo ya machinjioni, dampo na maeneo ya vilabu vya pombe mwitu utakuta mijibwa kibao unajichukulia hata bure( kuhusu kuwa mkali unamvutisha bange kidogo)
Mbona nasikiaga eti hata baadhi ya wasanii wa kiume Bongo wamewahi kutafunwa na madon wa kiarabu (hasa yule Babu wa Mombasa) ili wapate hela !
Hata huyu msanii naniliu nasikia yeye na rafiki yake wa zamani waliwahi kukung'utwa Sana tu ila yeye alivyopata hela akaacha
Mimi nimekuelewa Sana mleta mada
Kuna binadamu ukisaidiwa hata kidogo hutoa shukrani hata ya mdomo just neno "asante" inafariji na inakupa moyo kwamba ametambua msaada wako Ila kwa hiki kizazi hasa hawa viumbe wa kike hawana huo moyo!
Kuna dada mmoja nlimkuta njiani mvua kubwa inanyesha...
Kuna mm
Kuna mmoja humu
Kuna mmoja humu aliniumizaga nafanya kazi gani nikamjibu nauzaga majeneza akaniblock kabisa😀ila badae nilimfuata Pm na Id mpya nikajifanya nauzaga magari kutoka Japan akanikubali fasta japo sikufanikiwa kumla maana alianza vizinga mfurulizo nikaona nipite hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.