Nimejikuta naandika hapa kwa namna nilivyojionea mwenyewe kwenye mahusiano. Unakuta uko kwenye mahusiano na mtu...unamsaidia mambo hata kama si kuyamaliza ila yale ya dharura unayapa kipaumbele, ikumbukwe kila mmoja anashughuli inayomuingizia kipato.
Sasa inafikia mwanamme kazi zako zimesimama...
Huwa najiuliza maswali yasiyo na majibu.
Kwenye kampeni tunasikia mengi na ahadi nyingi ambazo mara nyingi hazitekelezeki:
1. Hivi mnaponadi mmefufua reli, ni serikali ya chama gani ilifilisi?
2. Shirika la ndege lilifilisiwa na viongozi wa serikali ya chama gani?
3. Mnaposema mmeleta ndege...
Wadau hamjambo
Nina mtoto wangu katimiza miaka 6 tarehe 10 April mwaka huu....sasa tangu meno mawili ya chini yatoke na kuota mengine ni miezi Sita imepita....mpaka sasa meno ya juu hayajang'oka hata dalili ya kulegea hakuna je kuna tatizo hapo?
Basi la kampuni ya KIMOTCO lililokua linatoka Musoma kwenda Arusha kupitia Mugumu, limepata ajali katika mto wenye viboko ndani ya hifadhi ya taifa ya Serengeti.
Maji yamesababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hifadhini.
Nimefanya utafiti huu kwa miaka saba.
Si wanawake wote ila asilimia 95 wanawake wa aina hii kwakweli sina hamu nao ni wakorofi kupindukia. Wengi wao hawashauriki na katika mahusiano, nimejikuta naachana nao bila sababu ya msingi.
Tofauti na wenye mwili na warefu huwa wanauvumilivu ule wa...
Ile Dhana ya watu kubishana huku ndani kwamba Ni Wapi kuna wanaume wa kweli Kati ya mikoa hii.
Wiki iliyopita nilifanya kautafiti kangu nikapata jibu.ilikua hivi Katika kazi yangu ya mizunguko, safari yangu iliishia dar jk nyerere airport.baada ya kuachana na wageni wangu mida ya saa Saba...
Huyu jamaa kimya kimezidi sana au nae ni mmoja wa majipu yanayosubiriwa kutumbuliwa?au hapa kazi tu zimemkata ngebe na mdomo?asante magufuli kwa kudhibiti waongeaji na wavivu wa kazi.
Ni wiki ijayo,naondoka na KLM,
Sasa mawazo yananisumbua kuhusu magaidi hawawezi kututungua kweli?
Pili ni kuunganisha ndege kati ya Amsterdam na Manchester na kiingereza jamani mimi hakipandi nitamuuliza nani kwenye uwanja uholanzi anionyeshe ndege nyingine?
Na msosi nitaagizaje kwenye ndege...
Nashindwa kuelewa huu uongozi wa Channel ten hawana elimu ya kuopareti mitambo yao? Nauliza hivi kwa sababu kila siku tatizo hilo hilo linajirudia, kama sauti kukwama, au picha kukwama au vyote kwa pamoja ina maana wameshindwa kurekebisha kabisa miaka yote?
Hata mapresenter wao wanasoma...
Hili basi limenikumbusha siku naenda kumuona mama yangu mkubwa nikiwa na mfuko wa Marlboro nimewekea nguo zangu!na ndani ya mfuko niliwekewa na bibi karanga na mihogo ya kula njiani!
Kilometa 40 tunatumia masaa 4 Hadi matano.halafu konda ndo mjanja kila abiria anajipendekeza kwake ili tu...
Nafikiri kila mmoja ni shahidi kwa aibu aliyoipata Magufuli ya kuzomewa!sasa wameamua kukata umeme karibu nchi nzima ili tusione news ya aibu ya saa mbili.pole yao siku hizi hatutegemei TV kihivyo.Waende TCRA wazuie na bando za net hapo ndo watatuweza.poleni CCM hiyo ni laana ya watanzania mpaka...
Kwa upande wetu sisi huku kwetu tulishampa kura yetu lowasa hata kama ni mgonjwa si mbaya akafie ikulu.hata makamu wa raisi mkapa alifia kwenye uongozi akateua mwingine hamu yetu sisi huku Ndaguzabhana ni tamasha au fiesta.
CCM njooni na wanamziki wengi kama mlivyofanya Moro, Dar na kwingineko...
Wakuu,
Hapa ninahasira mbaya,iko hivi Leo nilikua na ahadi ya mpenzi wangu aje alale kwangu sasa nikaandaa mamisosi ya kutosha ili kakipenzi kangu kafurahi,kweli akaja mida ya saa moja hivi,mara saa mbili ikafika tukiwa tumekaa sebuleni tukafungua news ITV,sasa si unajua kipindi hiki Ni cha...
Huyu mama samia wa ccm nimemfatilia kwa muda sasa,hivi anajua anachokifanya???masikini hana ushawishi kabisa wa kisiasa!na kila anakokwenda anapewa karatasi ya kusoma na kuelezea wakati anahutubia!kwa hali hii atakua na kumbukumbu ya matatizo ya watz kweli?ni afadhali kuliko tupoteze muda Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.