Search results

  1. Mtumiabusara

    Toyota corolla E100, inauzwa

    Cc 1330, ipo kwenye hali nzuri, bei 4m
  2. Mtumiabusara

    Natafuta vitabu

    Ndugu wana JF, natafuta vitabu vya tamthiliya vilivyoandikwa na E. Musiba. Ni vile vya hadithi za Willy Gamba. Anayefahamu anijulishe tafadhali
  3. Mtumiabusara

    Idadi ya wanaorudisha line za simu zilozopotea

    Ndugu great thinkers Kwa muda mrefu nimekuwa nikipita kwenye customer care offices za makampuni ya simu hasa pale mlimani city. Moja mambo niliyo yaona ni foleni kubwa ya wateja wateja wanao renew line zao za simu. Maswali ninayo jiuliza ni: 1. Simu zilizopotea pamoja na line za wateja hao...
  4. Mtumiabusara

    Nauza toyota corolla

    Nauza toyota Corolla E100, cc1300, grey colour. Ipo kwenye hali nzuri, inatembea. Bei 5.8m Tsh.
  5. Mtumiabusara

    Ajali ya mabasi ya kenya huko pwani, rais kibaki atuma ndege

    Rais MWAI KIBAKI ametuma ndege kuja kuwachukua majeruhi wa ajali ya mabasi ya kenya iliyotokea huko Pwani
  6. Mtumiabusara

    Nishati ya kutumia majumbani

    Jamani watanzania wenzangu, Naomba tushauriane ni nishati gani nafuu ya kutumia majumbani kupikia hasa kwa watu wa kipato cha chini au cha kati tunaoishi mjini? Maana bei ya gesi au mkaa ni zaidi ya Sh. 50,000. Umeme ndo huo huwezi kupikia na haupatikani kwa uhakika. Mafuta ya taa sina uhakika...
  7. Mtumiabusara

    Radio zetu

    Ndugu wana JF, Hivi hapa DSM hakuna radio inayotangaza live session za bunge ukiacha Tv. Au radio zetu ni kupiga miziki tu wakati kuna masuala muhimu ya Kitaifa yanaendelea?
  8. Mtumiabusara

    Mgomo wa Kutoa Unyumba Mpaka Barabara Ijengwe

    Zaidi ya wanawake 250 wa mji mmoja nchini Kolombia wameanza mgomo wa kuwapa unyumba waume zao ili kuishinikiza serikali iifanyie marekebisho barabara inayoingia mjini humo. Wanawake katika mji wa Barbacoas wanaamini kwamba iwapo wataanza mgomo wa "kuibana miguu yao" kwa kuwanyima unyumba waume...
  9. Mtumiabusara

    Wananchi waandamana kushinikiza serikali kutekeleza ahadi

    Wakazi wa vijiji vinavyozunguka mgodi wa dhahabu wa Bulyankulu (BGMCL) Wilaya ya Kahama mkoani hapa, wameandamana katika Kijiji cha Segese na kufanya uharibifu mkubwa wa barabara kuu iendayo mgodini kwa lengo la kushinikiza serikali kutekeleza ahadi iliyotolewa na vingozi wake wakati wa...
  10. Mtumiabusara

    Kwa wanaume tu

    hiki ni kitabu cha kusoma kurasa zote if a men want to understand a woman
  11. Mtumiabusara

    Dawa ya Mchungaji Ambikilie inatibu

    Uchunguzi wa NIMRI,MUHAS Uchunguzi wa awali uliofanywa na Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) ikishirikiana na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Afya na Tiba cha Muhimbili (MUHAS) umebaini kwamba dawa ya magonjwa sugu inayotolewa na Mchungaji Ambilikile Mwasapila ina uwezo wa...
  12. Mtumiabusara

    Technolojia na Kiswahili

    Jamani tuelimishane neno au jina lolote la kingereza kwa kiswahili. Naanza na haya Calculator - Kikokotoleo Tv - Luninga Photocopy - Kinakilishi Laptop - compyuta mpakato Keyboard - Kichapio ? Printer -
  13. Mtumiabusara

    Marufuku kubeba petroli kwenye vidumu

    MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (EWURA), imepiga marufuku matumizi ya chupa za plastiki (vidumu) kuhifadhi au kubebea mafuta jamii ya petroli, kwa kuwa zina uwezo mkubwa wa kulipuka. Pia imewataka wauzaji wa nishati hiyo katika vituo vyote vya mafuta nchini, kukataa...
  14. Mtumiabusara

    Tuichunguze tanesco

    TANESCO, shirika la umma linafanya biashara isiyo na ushindani katika nchi hii. Wanakusanya bili prepaid (LUKU) lakini huduma bado ni utata. Tunafahamu wana wataalamu wa kila aina mfano wataalam wa umeme, uhasibu, masoko, sheria nk. Maswali tunayojiuliza: Mvua isiponyesha, umeme mgao, je...
  15. Mtumiabusara

    Maoni kuhusu katiba mpya

    Je ni kitu gani ungependa kiwe kwenye katiba mpya? DEREVA: Trafiki wasiwepo barabarani MWANAFUNZI: Mitihani isiwepo, baraza la mitihani lifutwe MFANYABIASHARA: TRA itaifishwe Wewe Je?
  16. Mtumiabusara

    Baba wa Taifa na sifa za kiongozi

    Katika kupitia speech za Baba wa Taifa, hii niliipenda, nitanukuu point chache alizozungumzia kuhusu sifa kiongozi wa Taifa letu wakati akihutubia mkutano mkuu wa CCM: Watanzania wanahitaji mabadiliko. Wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM Watanzania wanahitaji kiongozi...
  17. Mtumiabusara

    Mwanaume mwenye nguvu za ajabu

    Kwenye majambos lazima aende mizunguko 15 kila siku Ana wake 4, wanapokezana hakuna kulala nguvu zake ni sawa na wanaume 30000 anaweza kuzuia treni isitembee anaweza kupindisha sarafu kwa kukandamiza kwenye jicho lake Akitumia mikono anaichana sarafu kama karatasi Haruhusiwi kufanya kazi yoyote...
  18. Mtumiabusara

    Mkullo: Maisha yangu yako hatarini!

    WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, amewashukia watendaji wa ofisi yake kwamba wanahatarisha maisha yake kwa kuvujisha siri za wizara hiyo. Mkulo alitoa kauli hiyo baada ya gazeti hili hivi karibuni kuripoti kuwa alikodi ndege kwenda Dodoma na kumuagiza dereva wake amfuate kwa shangingi...
  19. Mtumiabusara

    Matumizi ya watanzania kwenye Simu

    Kwa mujibu wa taarifa ya TCRA, kwa kipindi cha miezi 3 (July - September 2010) Watanzania walitumia kiasi cha shilingi bilioni 555 kwa kupiga simu na kutuma msg. Matumizi hayo yalikuwa ni makubwa kuliko mapato ya Serikali kwa mwezi. Kwa mtazamo wangu mahitaji ya simu kwa maisha ya kawaida ni...
  20. Mtumiabusara

    Kununua mali ya wizi ni kosa?

    Hebu fikiria kuwa kuna mtu amekuletea mali ya wizi mfano simu ya bei kubwa (zaidi ya Tsh 600,000) akakuuzia bei poa kama Tsh 30,000, Je utakataa kununua? Kumbuka kuwa muuzaji humjui mmekutana tu barabarani na ni eneo ambalo halina watu, kiasi ambacho huwezi kufanya chochote kumchukulia hatua za...
Back
Top Bottom