Tusio na ajira na hatujui Ni lini tutapata ajira, tunakuangalia kwa jicho Kali Sana...tunatamani tukutukane Ila Sheria za jukwaa hazirihusu.
Acha basi mi nikushauri kwa kuzingatia Sheria za jamiiforum.
Nakushauri nenda kafanye kazi.. miaka miwili Ni mingi Sana endapo utafanya kazi kwa umakini...
Yupo Dodoma mwenye uhitaji Boss, ni mtaalamu wa Computer ila sio mtaalamu wa Movie, ni mtaalamu wa mimala ya simu mitandao yote kwa 100%. Ila hana ndugj Dar.
Wana prefer Paypal kwasababu ni Salama, Nyepesi (user friendly), Hawana usumbufu na wakongwe katika Online Transaction, it is like Mpesa, inaaminika kwa mifumo yao salama zaidi kuliko Tigo pesa...
Nahisi ntakua nimejaribu kukujibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.