Eti waliona masanduku yenye kura zilizopigwa.......hivi hii inaingia akilini? walionaje? hivi kwanini mnawashawishi watu mambo yasiyo na maana na kuwatuma kufanya vurugu ilihali nyie mmekaa na familia zenu mnaangalia TV? Inasikitisha sana sana
Yeye slaa na mkewe Rose Kamili walipokelewwa na kulamba nafasi za uongozi kwa njia hii hii....kuna wana chadema waliokuwa huko majimboni na walistahili lakini joto la siasa lilikuwa juu kwa upande wao wakapitishwa...leo ndio wanaona ni maajab kumpisha mtu.....idiot
Sasa huyu ndiy0 mgombea........2005 aliingia top 3..ametulia sana alinifurahisha alipochangia bungeni mjadala wa escrow..hakugugumia kusema alichokiamini hata kama alijua mabosi wake hawakubaliani nacho!
kila la heri Mark Mwandosya (PhD)
sifurahii mauaji....lakini angalau nimesikia kuwa waislamu nao wanawakimbia wakristo...na wakristo kumbe wanaweza......upole siku zote umetafsiriwa kama ujinga...kumbe inawezekana kukinukisha ' kuchokozwa' kukizidi.... EEEH MUNGU TUEPUSHE NA BALAA HILI TANGANYIKA
mix with yours
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.