Ukiangalia kwa makini toka JPM kuingia madarakani na hasa baada ya bahari ya siasa kuwa na mawimbi makali na dhoruba za kuhogofya, wanaume waliokuwa kwenye siasa za kukosoa CCM na kumkosoa JPM wengi walinywea na wengine walirudi CCM.
Kwa upande wa wanaume, mtu pekee aliyebaki moto kama moto...
Kwa tathimini ya haraka sana, CDM haina vijana makini hasa tunao waona na wanoishabikia chama humu jf. Mashaka ipo juu ya uwedi wao, umakini juu ya Afya zao, mienendo yao na hata tabia zao, katika siasa za vyama vingi chama kinachowekeza juu ya vijana wasiojitambua, wasio na ajira na ambao akili...
Hi members
Nimeletewa Zawadi ya tv yenye model hiyo hapo juu kutoka USA lakini nikowasha ina andika all programs locked press OK to enter your password naombeni msaada wana jf.
Kitendo cha CCM, chamakikongwe na Tawala kukumbatia mtu aliyefukuzwa chama cha upinzani tena chamachenyewe ni Chadema ni cha aibu sana kwa CCM na viongozi wake labda kama hawanamuono na wamekwisha visheni.
Hii ni aibu pia kwa wana CCM watiifu na wenyewe visheni na muono juu ya chama chao, ni...
Wapo wana siasa ambao mimi naamini ndio wana siasa uchwara na mapandikizi ya kuuwa demokrasia hapa Tanzania ambao kila usiku na mchana wanadhani Watazania bado ni wajinga wa kudanganywa kwa maneno wakidhani kuwa wao ni maarufu na kuwa kwatumia umaharufu wao wanaweza kufanya lolote kupotosha...
Tetesi zinazoaminika ni kuwa Polisi nchni nzima wameweka Mgomo Baridi kupokea hile Posho ambayo Bunge waliambiwa ni Tsh.150,000 wakati wao wanapewa Tsh.100,000, Mgomo umeanza tokea tarehe 15 Mwezi huu baada ya kutolewa posho ya August, wamegoma kupokea wamekubalia kutokupokea hiyo fedha nchni...
Wana-JF naombeni msaada mara kadhaa nimekuwa nikiingia katika website ya Bunge letu nakuta ki-sehemu kimekwa mahususi 'Ask the Speaker" na kuna picha ya Mhe. Samwel Sitta, mathalani sura ya website hiyo usiku wa leo ilikuwa kama inavyoonekana katika kiambatanisho hiki hapa chini: -
Je...
"...Jairo ambaye yuko chini yake, analazimika kwenda likizo kuanzia juzi ili kupisha uchunguzi wa awali ambao unalenga kubaini iwapo ametenda kosa la kinidhamu kwa mujibu wa sheria zinazoongoza Utumishi wa Mmma.(Philemon Luhanjo kwa mujibu wa nukuu ya Gazeti la Mwananchni)
Kwa mijibu wa hii...
Dr Mohammed Ghalib Bilal aliteuliwa kuwa CM wa Zanzibar 1995 na kushika madaraka hadi 2000 akiwa na Rais wake Salmin Almour a.k.a Komandoo. Kabla ya hapo alikuwa PS-Wizara ya Sayansi na Teknologia kuanzia 1990.
Mwaka 2000 Bilal akiwa CM na Komandoo akiwa Rais wake walianzisha mpango kabambe wa...
Why sex is good for your health
In accordance to Yahoo life style News (2011), a proper celebration in the bedroom can keep you in shape; In fact, sex can benefit your health in many ways. Here are seven reasons to give and get a little love at any time
Good for the heart
Sex is good for your...
Wiki hii nili vinjali Tanga Baada ya Mizunguko ya muda mrefu kutafuta faranga pande zote za Dunia!
Nikiwa Ocean Breeze pale Tower Street, Nilikuwa na hamu kubwa ya kuendesha black mettalic car maana ni siku nyingi sijapata kuendesha black car! Nilifanya makeke na kupata gari jeusi kama...
CCM imeibuka na Msemo mpya 'Kijivua Gamba!'
Kila mwanchama wa CCM anaimba huo wimbo hadi Rais ambaye ndie M/kiti wa CCM pia anaimba huo wimbo, chorus inasema 'tumewapa siku 90 Mafisadi wajiondoe katika Chama la sivyo tutawatimuwa' Mwimbishaji ni Nape, sauti ya nne anaimba Mkama, 'CCM...
CCM Mnatia uzuni kila mkiibuka na matamko yenu na maoni yenu juu ya matatizo na mstakabali wa Chama chenu Kikongwe kabisa hapa Africa Mashariki.
Kama ningekuwa mwanazuoni katika kada ya Sayansi ya Jamii na Siasa ninge fanya tafiti kujua iwapo chama cha siasa pia kinaweza kuzeeka na kuwa kikukuu...
Wakuu hii sijaielewa: -
Huyu JF member mmoja jina lipo humu Jamvini
JF Premium Member
Join Date : 26th February 2011
Location : The Second House on the Left
Posts : 162
Thanks 5
Thanked 32 Times in 28 Posts
Rep Power : 21
Na huyu ni Member mwingine
JF Senior Expert...
Waziri wa Vijana na michezo wa Rwanda alijiuzuru kwa sababu ya kashfa za ngono! Tanzania Viongozi wameota mapembe!!
Bonyeza hapa kwa taarifa zaidi.
Rwanda photo scandal Minister resigns | Nehanda Radio
Kama ikiwa huyo Mzee wa Umasaaini huko Lolindo ni Mganga wa EL na kuwa kila atakaye kunywa hayo maji yake 2015 huta mwambia lolote juu ya EL, basi tumeliwa tena tuhesabu 2025.
Napata mashaka makubwa juu ya taarifa zake, napata shida kwanini wizara ya afya haitoi tamko lolote. Kwanini wizara ya...
Mheshimiwa waziri Mkuu swali la nyongeza:
uliweza kuchukua Mchuchuma kwa huyu Jamaa hapa mpaka sakata likatulizwa?
Naimekuwaje umeshindwa kwa hawa hapa chini kuwanyang'a Dowans yetu, maana Mali ya wizi ni mali ya Umma
Tupo nyuma yako husiogope, husiwaogope.
Askali wa Gadhafi wameuwa raia wengine 15 huko Benghazi na kujerui kadhaa, wakati waandamanaji wakiwa mitaa kudai kungolewa kwa Gadhafi. Inasemekana ndani ya Libra makachero Uchwara wamedhibiti mawasiliano yote ikiwa na mitandao ya internet.
Gadhafi anatumia nguvu nyingi sana na silaha kali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.