Jibu kwa hoja, sio matusi. Kama JF watu wangekuwa kama wewe isingetoa mchango chanya kwa taifa letu kama inavyofanya sasa.
Jifunze kubishana kwa hoja, itakusaidia kukuza ufahamu wako na kutoa mchango kwa taifa. Matusi ni dalili za kulazimisha hoja.
Jamaa ni mtu wa watu, anayekubalika,hata kama haupendi. Matatizo yetu viongozi wengi hawayajui kwa kuwa hawapo karibu na wananchi, viongozi wengi wapo mijini, ila EL muda mwingi yupo na wananchi wa kada zote, wa kada ya chini na juu.
EL hana mipaka. Fanya utafiti maeneo mengi ya nchi...
Mnyika anajitahidi kufurukuta, ila akishishindwa kutatua tatizo la maji, barabara, ulinzi na mipango miji mibovu Ubungo; 2015 hatafika mbali. Sifa za kupeana JF hazifiki uswahilini. kuna wakati watu wa Ubungo tunashindwa kwenda kazini mvua zikinyesha kwa sababu barabara hazipitiki. Wananchi...
El ameweza ku-push mambo makubwa na yakafanyika, e.g.UDOM. Nishati na Madini kuna changamoto nyingi, ila bado nafikiri kama tungekuwa na siasa za kutafuta solutions za matatizo yetu kama taifa, jamaa anafaa kuweka angalau msingi imara kwenye hiyo wizara.
Nehemia Mchechu & his team are great guys who are results oriented. People are great only if they determine to be so. Ukiona hizi vurugu ujue kuwa jamaa wame-hit the right target, tuwapeni moyo kwa kuwa NHC ikifanikiwa ni fahari kwetu sote.
Nilitegemea CCM itaelekeza nguvu nyingi kwenye kutekeleza ahadi zake (ambazo ni nyingi sana), lakini nahisi kukata tamaa kwa kuwa wameanza kwa kuchoshana nguvu wenyewe kwa wenyewe mapema kwa mambo yao ya ndani badala ya kazi. Wasiwasi wangu ni kuwa vita vyao havitaisha kabla ya 2015, halafu...
Nilikuwa maeneo ya katikati ya jiji niliona magari ya kuzima moto na Ambulance za Ultimate Security yakielekea huko, pia gari la fire la jiji limeonekana likielekea huko. Inaelekea waliwahi mapema, labda kwa kuwa ni karibu na City fire station na pia karibu na base za Ultimate Security.
Mkuu Fugwe,
sio sahihi kusema kuwa hilo kundi limejaa wajinga watupu... au mkuu umeangalia mavazi?
Mimi naona hilo kundi ni la watu waliojaa matumaini na wanaomfuraia kiongozi wao. Ninavyofahamu, wabunge wachache sana wanazunguka kwenye majimbo yao kuhamasisha maendeleo kama anavyofanya EL.
Wakuu,
Source inaonyesha kuwa application for licence ilitoka kwenye Daily News, Friday, 24th October 2008, Page 22. kwa hiyo issue yenyewe sio siri kama tunavyotaka kuipresent hapa, na kama kuna mtu alikuwa na objection angefuata the necessary procedure. Hatuhitaji kulalamika sasa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.