Sisi UKAWA tumejipanga vizuri Urais Zanzibar tunatoa mgombea CUF na Jamhuri tunatoa mgombea CDM.
Wabunge ni kama tukivyokubalia. Tunataka tuhakikishe magamba hawapati 45% ya wabunge na Urais tunawatwanga kotekote.
Kwenye Urais Magamba ndo mna shida kubwa kwani kuna wagombea zaidi ya 40 na wote...
Dhambi ya usaliti wa Mageuzi Tanzania imemfanya kama chizi.
Kwani alishawai kuzema hatagombe Ubunge 2015 atagombea Urais.
Sasa hivi anakuja na Ngonjera nyingine.
Hayo Majimbo aliyotaja ajaribu aone moto utakavyomuwakia MSALITI MKUBWA.
Tuna hasira naye sana hela alizokuwa anahongwa na Magamba na...
From: Mwigulu Nchemba <shimbi85@gmail.com>
Date: Saurday April , 2015 at 1:10 PM
To: Zitto Kabwe <zittokabwe@gmail.com>
Subject:Re: KUONGEZA NGUVU
Hon PM,
Apson sijongea naye. Naona hata humu ndani mambo si mazuri. Vijana wangu wameniletea taarifa kwamba Vuvuzela (mropokaji) anajaribu kila...
Natumia simu ya mkononi sijajua jinsi ya kuatach hayi mawasikiano ya Zitto na Mwigulu wakimuandalia Lowassa nafasi.
Vilevile Zitto anaomba Tzs 700m ili aendelee kuibomoa CDM
Zitto na Mwigulu walikuwa wanawasiliana ili Lowassa akikatwa jina wampe nafasi Agizo la Chama Tawala (ACT).
Nitakuleteeni hapa hizo baruapepe. Na Zitto kaambiwa aanze kumtangaza Lowassa na ndo maana alisima hivyo.
Akiomba msamaha tunaweza kumsamehe ila lazima tumuweke kwenye uangalizi wa miaka kama mitatu ili tujiaminishe kwamba ameacha kutumika kuibomoa na kuisaliti CDM.
Alianza zamani tabia yake ya kushirikiana na Ma-CCM kuibomoa CDM ila viongozi wetu kwa busara zao walimvumilia na kumshauri aachane na...
Hakuna gazeti lunalofichua maovu ya serikali kama Mawio tena bila uoga. Mwanzo ----------- ndo lilikuwa gazeti dume la kufichua ufisadi likafungiwa na mafisadi. Sasa hivi kazi hiyo inafanywa na Mawio
Nasikia yeye na Gamba mwenzie EL wamejipanga vilivyo kufanya mbinu zozote ili EL awe Rais na gamba lingine Chenge liwe Waziri Mkuu.
Sipati picha hilo likitokea nchi itakuwaje?
Wapiga deal wawili (Magamba Mawili) yapo kwenye nafasi kubwa kabisa za uongozi.
Watanzania tukatae hilo kutokea kwani...
Bunge likipata uwakilishi wa Wapinzani 50+% bila shaka litasaidia sana.
Kwa upande wa mahakama ndo hao na majaji wamehongwa unategemea watatoa haki?
Kwa upande wa Executive Rais wetu hana nia ya dhati ya kupambana na ufisadi.
Associate Professor asiyejitambua na kutumika kama Kitila siwezi kumuita Professor namuona kama mpuuzi fulani tu.
Yeye na Zitto walitumika ili kuiua CDM wakashitukiwa wakatimuliwa. Akaenda ACT ambako nako kishachafua hali ya hewa.
Uprofessor wake utaonekana kama wa JK asipojitekebisha haraka.
Mkinga akikubali hilo Deal atajidhalilisha sana. Kwani yeye na sisi wengine tunaamini Lowasa ni fisadi papa na yeye amekuwa akihubiri hilo siku zote. Sasa akianza kumsafisha sijui nani atamwelewa.
Nilisikia kwamba siku hizi Mkinga kaanza kubadilika au ndo kishaanza kupewa hizo hela?
Acheni utani Mamvi kwenye Richmond anahusika moja kwa moja sema tu labda kuna wenziwe waloohusika nao hawakuadhibiwa wakati ule.
Hana sifa hata moja ya kuwa Rais wa Taifa hili.
Gedeon acha uongo EL alikuwa analalamikalalamika kwamba kaonewa ndo Mwakyembe akasema kama analalamika kwamba kaonewa yeye Mwakyembe alete ushahidi wa kuonyesha kwamba EL alihusika na swala zima la Richmond na kama hautakuwa kweli Mwakyembe atajouzulu.
Tangia siku hiyo Lowassa hajawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.