Kuna msemo sikio la kufa halisikii dawa, but kama unataka kuishi maisha ya amani hapa duniani mpaka siku Muumba wako atakapokuita, ACHANA NA MERCY, MSAHAU MERCY, ACHA UKARIBU WA AINA YOYOTE NA MERCY, HESABU HAKUWA FUNGU LAKO. Lakini if you ever, ever marry her atakuwa kaburi lako. You knw why...
wewe ni mwanaume so huwezi kuelewa, mambo sio marahisi kama unavyozani unaweza umalize miezi 6 hujatongozwa na huyo anaekutongoza unakuta ni mume wa mtu, au ni mtu asieleweka huwezi tu kusema ndio kwa kila mtu my brother kisa tu unahitaji mahusiano
hakuna kitu kama hicho unless uwe unatongoza wale ambao wako nje ya uhalisia wako. Mfano diamond huyu mwanamuziki wanawake wote ambao ameshakuwa nao mpaka sasa, kama nyota yake isingeng'aa kwenye muziki na kupata mafanikio aliyokuwa nayo kiuhalisia hakuna kati yao ambae angemkubalil hata mmoja
Mimi ni mwanamke najua, na naijua sitution ilivyo kwasisi wanawake kwenye swala la mahusiano, ni mpaka usubiri kutafutwa na mwanaume, au ujitoe ufahamu ujilengeshe napo kuna mawili uonekane malaya uishie kuumizwa au ubahatike upate muelewa, either way situation kwa wanawake na wanaume ni...
Ndugu yangu ungemuacha tu na bikra yake manake from the beginning ulishajua she is not ur type, ila tatizo la wanaume hata akiona humfai atataka akulale kwanza ndo afanye maamuzi, umemkosea sana sana. But usijilazimishe kumuoa kisa umemtoa bikra it will get worse humo ndoani mana mwanaume hukaa...
Afae asifae, aweze asiweze, doesn't really matter rizki anaetoa ni Mungu si mwanadamu, ingekuwa ni mwanadamu ndo mwamuzi wa mwisho wa hatma ya binadamu mwingine, hata wewe mtoa uzi usingekuwa kuwa hapo ulipo mana usizani kila mtu alikuzunguka anakupenda katika hao hao walikuzunguka wapo...
Swali la msingi ni kwanini upo nae? after everything u have told us nakushangaa wewe zaidi ya ninavyomshangaa yeye, she is not the problem u are. Kwasababu umeingia kwenye mahusiano nae wakati mtizamo wake tu ulikutia mashaka, na umeendelea kuwa nae wakati mambo yake mengine tena ya msingi...
Me tulikutana marafiki.com enzi hizo sasahivi ni mume wa ndoa 10years, kwa kweli sijawahi juta kukutana na huyu kaka, it was fate. Japo halikuwa lengo langu kuwa na mtu kutoka kwenye mtandao na nilikuaga naponda sana hilo swala jamani maisha haya:p, kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto :D...
Natamani kujua ulienda hospitali gani, mimi kama muhanga wa ovarian cyst na nilishafanyiwa operation kwajili ya hizo ilipelelekea nikatolea yai moja likabaki moja, ila kusema ukweli huwa zinarudi hasa hizo ambazo ni complex
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.