Kwa matukio ya hivi karibuni inaonyesha kwamba sehemu kubwa ya askari wetu ni sehemu ya wahalifu ukiwemo huo ujambazi, haiwezekani polisi wa wilaya akajibu kilevi namna hiyo eti hawakuwa wamejiandaa, wajiandae kufanya nini?
Kwa tafsiri yetu sisi wananchi ni kwamba polisi walishaandaliwa kwa kodi...
Windows cannot Install required files.Make sure all files required for installation are available,and restart installation. Error code:0x80070522.
Maelezo:
Ninapata message hii ninapotaka ku install win7 kwenye machine ambayo ina WinXp sp3 nimejaribu mara kibao win7 pro imekataa, nikajaribu win7...
Inaweza kuwa sio ushamba, nijuavyo mimi baadhi ya IT machine huwa zina automatic signatures from manufacturer ila kama huipendi waweza kuitoa.
Cha kukumbuka sio wote ni wajuzi wa vitu wanavyovitumia.
Well said mkuu, issue hapa ni kuangalia namna gani sheria inaweza kuwekwa ili iwe mlinzi wa viwango ikiwa ni gharama za mitambo, uendeshaji pamoja na faida ambayo ndio msingi wa biashara yoyote.
Binafsi siwatetei ila fikiria kwamba ungetuma pesa hizo kwa njia ya posta au benki ambazo hazipo vijijini.
Naamini suala la msingi hapa kunatakiwa kuwe na regulator ambaye kazi yake ni kuhakiki viwango (tozo) ili wote (makampuni yanayofanya kazi hiyo) yawe na rates zinazofanana ili kuondoa hicho...
Thanx for caring mkuu, nitajitahidi kufuatilia kwa karibu kwani tatizo tulilonalo wataalamu wa fani ya macho naona bado ni utata. Nimewahi kuhudhuria kliniki fulani nikapewa dawa fulani baada ya kutumia drops hizo kwa muda ilikuwa inanisaidia wakati huo huo nilipokuwa naitumia once ilipokwisha...
Binafsi sikushauri utumie ma dk pori kwa tatizo lako ni vyema ukaenda hosp na ni vyema pia mwende pamoja kwa kuwa huna sababu ya kuwa na wasi wasi na tatizo lililoletwa na mpenzi wako.
Kwa kumshirikisha itampa picha kwamba mechi za mchangani ni hatari na pia asijichukulie kama mtu mwenye bahati...
Sharing is good thing, nimejifunza mengi kuhusu uzi huu shukurani za pekee zimwendee mwandishi na wachangiaji ambao ndio wameongeza ladha katika thread hii.
Wakuu, kwa anayefahamu jinsi ya kuangalia bundle ili niwe confident hasa wakati muda unakwisha kwamba naweza ku download kiasi gani kutokana na kiasi cha bundle ili zisiishe bila matumizi.
Ni miwani yoyote au inabidi nikapime macho kwa ajili ya miwani? Mimi pia nina tatizo hilo hadi sasa na sababu ulizoeleza kama kisababishi naona zinafanana nami kwani hii hunitokea nikikaa kwenye Computer kwa muda mrefu yanaanza kuwasha!
Na ni kero kweli kweli kwani inafika wakati mtu mzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.