Mkuu evigt Dsm nyumba nyingi walizochimba visima ambazo nazifahamu mimi maji yake ni ya chumvi, Je, kunauwezekano wa kupata maji yasiyonachumvi ukichimba kisima Dar es Salaam ?. Na kwa uzoefu wako eneo la Makongo Juu karibu na Mto Mbezi ili upate hayo maji inabidi uchimbe mita ngapi ?
Flying termites are just common termites that are in their winged life stage. This phase is part of their reproduction cycle. While they are breeding adults at this stage and dont cause significant damage themselves, they create thousands of termite wood-chewing offspring. Flying termites seek...
Mohammed Ali ni mtu jasiri katika kizazi cha uandishi cha karne hii katika nchi za Afrika Mashariki na pengine Afrika nzima kwa ujumla. Mungu amlinde huyu mja wake.
Vyombo vya habari vinawa-promote wasanii wa Tanzania mno kwa kuandaa matamasha ya ndani, kusaidia uzinduzi wa albamu zao, kupiga na kuonyesha nyimbo zao kwenye TV ndio maana wakawa wanajulikana na kupata mialiko hata nje ya mipaka ya Tanzania....sasa sijui huyu Waziri wa twitter na facebook...
Ni kweli PJ Battery huwa na chaji kiasi kuiwezesha kuanza kupokea chaji, sasa ukinunua ndio unaanza rasmi kuizoesha utamaduni wa kuwa na chaji full itakayotumika. Hujawahi kuishiwa kabisa chaji kwenye Battery mafundi huunganisha waya moja kwa moja waya kwenye contact terminal za Battery ili ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.