Habari ya muda huu wakuu
Leo nimekuja na wazo ambalo tunaweza kulibadili na likaleta matokeo mazuri ambayo yatakuwa na matunda basi kama wewe ni Web Designer au developer ni PM tuweze kuelekezana
Ukweli huwa hauwekwi wazi kwa viumbe hawa wenye majina ya ex Kama hukufanikiwa kumwona ktk mahusiano yake ya kwanza mkikutana atamvisha ubaya ex wake na kujifanya mtakatifu hapo ndipo kipengele kitakapoanza ushauri wangu kama utapenda ex wa mtu hakikisha uliwahi kushudia maisha yake ya mahusiano...
Nyuma ya pazia jamaa anavuta b*ngi sana na anakuja na project ya kuongeza siku za kuishi binadamu labda itokee bahati mbaya upate ajari ndiyo upoteze maisha binafsi namkubali sana yana mambo zake sio haba
Wewe kujifunza kusoma ulianzia wapi kuna umuhimu wa serikali kuuingiza haya masomo kwenye mitaala ya elimu kuanzia ngazi za chini kabisa sio kuja kukutana nayo huko juu
Habari ya asubuhi wakuu natumaini muwazima wa afya kwa wale ambao ni tofauti napenda kuwapa moyo mtakua vyema na kurudi ktk kusukuma gurudumu la maendeleo
Acha niende moja kwa moja katika swali langu nilouliza wajuzi wa mambo naomba kuuliza
1. Nafsi nini?
2. Je Nafsi ktk mwili huishi ndani ya...
7×0=0 na sio 7×0=0+0
0=hakuna
Unaposema 7×0 kwenye sheria ya multiple
7=Wazo na 0=matokeo ya wazo lako wazo lako linapo kutana na 0 haliwezi kuibadili 0 kuwa wazo
Natamani kutag mtu humu ila policy hainiruhusu aliniingiza king ila ilifeli jamani tuheshimu wazee wetu kwani kwa akili yangu pekee niliingia king nashukuru akili ya shangazi nikabaki salama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.