msasa upigwe wewe huku ni kudhalarisha walimu wapya fikria wamekaa kitaa toka mwezi may 2013 had mos april 2014''tuliowengi tulikata tamaa sasa tunapiga kitabu hatuna mpango na hela kujikimu
Daa''kwanza siamini kama april mos walimu watapata vituo vipya'hii imetokana na serikali kupitia wizara husika kutotoa tamko rasmi kuhusu ajira mpya.Hivyo wahitimu walio wengi naamini hawajajipanga vema kuungia kazni kwani serikali ni sumbufu juu ya swala hilo
duu''hasra sana maisha tait huko kitaa bora nilipo kuwa camp''acha wacheleweshe watu material yanahama''coz hata kuandaa scheme of work nazdisahamu''''
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.