CEO hajajipanga kila siku anatoa matamko yanayozidi kumwacha utupu
Anataka fisadi lowassa atangaze mali zipi zaidi ya zile za kimagumashi alizoweka kwenye tume ya maadili?
--------- anahaha baada ya mipango yao kubumbuliwa na kubenea
Dr Slaa anasema anachotenda anapinga ufisadi ukimuangalia usoni anamaanisha ukiangalia maisha yake yanathibitisha ni kiongozi wa vitendo na maneno sawa
Chadema ni chama imara kinafanya mambo yake kulingana na program walizojiwekea
Hakiwezi kufanya kazi ya kuzungukia maeneo waliyopita mawakala wa magamba
Huwa hasemi akimaanisha 2008 aliandika waraka mrefu kuwa anaacha siasa anarudi kufundisha mara anaenda kufanya kazi kwenye maeneo ya vita Somalia ila bado tunaye
Hivi majuzi alikana hahusiki na act leo ni kiongozi mkuu mwenye mamlaka zaidi ya yake ya mkiti wa chama chake
Serikali kama iko na nia njema ilipaswa kupitisha sheria ya kuzuia vikundi vyote vya ulinzi kwenye Vyama vya siasa green guard ambao ndiyo waasisi hii mambo wakifuata hao wa Vyama vingine
Kwa utaratibu huu wa kuvizia kukomoa Vyama vya upinzani hailisaidii Taifa zaidi ww aliongoza kwenye...
Makene tatizo waandishi hawana msimamo wanakubali kutumika wanaacha misingi ya kazi yao kwani wangekuwa na msimamo na nape akajua hilo asingewapangia cha kuandika
Zitto ni mwanasiasa aliyelewa sifa
Acha awe fundisho kwa wanasiasa vijana kuwa msingi wa kuendelea kuwa maarufu kwenye siasa ni pamoja na kuzingatia sheria kanuni na taratibu za Taasisi
Alidhani yeye ni zaidi ya chama chake
Hakuna cha tofauti huwa kazoea kupiga soga kwani ahadi atekelezi
Anaongea utekelezaji sufuri wameona hata mkisikiliza haisaidii kwani kwa miaka 10 hajafanya chochote kumuinua mwanamke wa kijijini zaidi kawapa ulaji wale aliowateua
Pasco, usinitishe kushughulikiwa na wewe najua ni team Lowasa na ukinizingua nitaweka na meseji aliyoituma Fredy ya kuomba msamaha yaliyotokea. Mbona sija weka namba nawasubii kwenye kona....ulisema simu haina chaji bila shaka sasa inachaji wasiliana na huyo Liongo au Lowasa au umepoteza namba...
Huna haja ya kunitukana, wakati nimeandika kitu ambacho nina uhakika nacho kwa 100% kama unabisha mpigie simu Kinana, lowasa, lilian, liongo au waandi niliowataja hapo juu...
Pasco mimi siyo mwanasiasa Mpigie Liongo - 0762298087 au Lilian 0752947388 kama huna ya lowasa sema na yenyewe nikuwekee au wapigie simu waandishi niliokutajia kama hawajapigiwa simu na kinana akitaka kupata uthibitisho kabla haja mshughulikia Lowasa.
Kinana ameshangaa kiburi kilichoonyeshwa na aliyekuwa waziri mkuu Mhe. Edward Goyai Lowasa kwa kukataa kufanya kazi na vyombo vya habari vya chama cha mapinduzi.
Tukio hilo lilitokea kwenye ufunguzi wa mkutano wa K.K.K.T jimbo la Arusha kuziba nafasi iliyoachwa na Thomas Lazer aliyefariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.