Bado naomboleza kifo cha Jemedari Dkt. John Pombe Magufuli, Mzalendo wa KWELI asiye na UNAFIKI katika maslahi na ustawi wa watu wake na upendo kwa nchi yake, yaani Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mtu aliyejipambanua kwa nia ya dhati akihimiza kwa vitendo juu ya miradi ya kimkakati. HAKUNA...
Gazeti la Mwananchi Digital Siku 34 za Dk Bashiru Ikulu, wanasema Balozi Dkt. Bashiru ameondolewa 31 Aprili 2021, jamani editors wa bongo mbona matango mwitu mengi hivi!!!!
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/siku-34-za-dk-bashiru-ikulu-3344494
Hao wazungu wabebe mabwawa kichwani pao watuletee kama wanayo. Sisi hatuna mbadala tunaendelea na mheshimiwa kutengeneza bwawa la Stiegler alilotupatia Mungu wetu.
Mbona ni wazi kabisa, upinzani kimya vita ya ufisadi. Kwani hili nalo linahitaji darubini kulichunguza jamani!!! Kila mtu anaona jamani. Dr Slaa alikuwa creative and focussed kuleta agenda zinazogusa wananchi. Hawa wengine kama kipawa chao ni kwenda mahakamani tu.
Mheshimiwa Rais Magufuli anasoma mitandao ya kijamii. Nina hakika ujumbe huu atausoma. Napiga kura ya ndiyo katika wote wanaotambua kosa la jinai kwa kuzingatia sheria ni msumeno kama Magufuli mwenyewe ambavyo amekazana kusisitiza.
Hatuwezi kuendelea kuacha mawaziri wakijifurahisha kuongea...
Nafikiri suala la watalii tunatakiwa tuliangalie siyo tu kwa misingi ya kodi lakini pia athari nyingine chanya kwa ujio wao au uwepo wao (kama ni wa ndani). Ujio wa watalii unaongeza mapato kwenye hoteli zilizopo ndani ya nchi lakini pia wanapokuja huku wengi wanatumika kama njia ya kuvutia...
Ukweli ni kwamba mimi binafsi nimefurahi kupita maelezo kwa uamuzi huu wa serikali. Hizo pesa ambazo wamekuwa wanatukata ni sehemu ya mapato ambayo kwa benki wanayaita Non-Interest Income. Kimsingi yalikuwa ni mapato ambayo taasisi za fedha zilikuwa zinapata bure pasipokulipa VAT. Walizitumia...
Hao Clouds TV wakiachwa wawewanafanya mambo ya kumomonyoa maadili wataharibu nchi. Lazima wafuatiliwe, hatuwezi kufuga upuuzi wa namna hii unaachwa urushwe hewani. Lengo lao lilikuwa ni nini? Je! Ni kuhamasisha ushoga?
Watu wanaolenga kuharibu reputational image ya JWTZ washughulikiwe vile inavyotakiwa. Hatuwezi kuendelea namna hii ya watu wanavyotaka kwenda kwa kisingizio cha demokrasia. Demokrasia siyo DOMO-GHASIA lazima tuwe na mipaka. Tena huyo naona wamewahi kumpeleka mahakamani. alitakiwa apitie kambini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.