Asalam Alaykum warahamatullah wabarakatuh kwa wale ndugu zetu ambao wanafuata muandamo wa Kimataifa siku ya kesho InshaAllah tutaswali Eid El Fitr
Hii ni kutokana na kutangazwa kwa muonekano wa mwezi nchini Saudia Arabia vile vile Uturuki na United Arab Emirates nao wametangaza kuwa kesho...
Wakuu habari za jumapili, kwanza kabisa nianze kumpa hongera Mkuu wa Mkoa wa Mbeya hakika wewe ni mfano wa kuigwa katika hali ya kushangaza Mh Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ameonekana akitembe katika soko la Mwanjelwa akipita Duka mpaka Duka akinadi kwa mwenye mifuko ya plastic aisalimishe kwake, Mh...
Kwa watumishi wote kutoka kwa RS - GEITA ni Marufuku kwa Watumishi wa Umma kufuga ndevu na kuvaa T-shirt sehemu za kazi.
Imeelezwa kuwa tabia ya kufuga ndevu na kuvaa T-shirt inaendekezwa na Wanaume huku wakijua kuwa ni ukikwaji wa kanuni za kiutumishi wa Umma
Hivyo hatua Kali za kinidhamu...
Tangu Mheshimiwa aingie Madarakani kila maandamano yanayoandaliwa dhidi ya Serikali yanashindakana na kufeli umefika wakati sasa Watanzania watumie njia mbadala kuonyesha na kuelezea hisia zao ila kwa njia ya maandamano haitawezekana!!
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Usitarajie Kila Kitu Kiwe Shwari Katika NDOA bila Misukosuko.
2 Usitarajie Kushiba,Kuvaa,Kuoga Bila ya Kukosa cha Kutia Kinywani Au Kuvaa Mwilini ni jambo la Kawaida Katika NDOA.
3 Usitarajie Aliyekuoa au Uliyemuoa Awe Mkamilifu Utakavyo Wewe! Bila Shaka Utie Akilini Kwamba Chochote Kizuri...
Nchini Indonesia Vijana Wachapwa viboko 22 kisha watupwa jela kwa kushiriki ‘tendo la ndoa’ bila kufunga ndoa.
Ni Wanaume watano pamoja na wapenzi wao walitandikwa viboko 22 hadharani kwa kutumia fimbo ya muanzi nje ya msikiti kwenye mji wa Banda Aceh, nchini Indonesia na hii ni baada ya kukaa...
Mufti sheikh Abubakar Zubeir amewataka waislamu kote nchini kufanya swala maalum ya kuomba mvua za heri
mufti amewataka waislamu wa taasisi na madhehebu yote nchini kuungana na kuhudhuria kwenye Dua hiyo ya kitaifa itakayofanywa viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam Jumapili saa moja na...
Nchini Iran Wanaume wawili waliokuwa wanajihusisha na mapenzi ya Jinsia moja ( HOMOSEXUAL) wakamatwa na kunyongwa hadharani baada ya kuthibitika kuwa wanajiusisha na mapenzi ya jinsia mmoja .
Ifahamike kuwa Iran ni Miongoni mwa nchi ambazo zinamsimamo mkali dhidi ya watu wanaojihusisha na...
Ndugu wanabodi kwanza nitangulize kuomba radhi kama nitakuwa nimemgusa mtu kwa namna moja au nyingine kwa maneno nitakayo yasema kuusu binti huyu Irene Uwoya
Hivi karibuni binti huyu alifungua Night Club yake ambayo inauza kinywaji Haramu cha pombe jambo ambalo halifai kabisa na linachukiza...
Maafisa wa upelelezi wanaofanya uchunguzi kuhusiana na shambulio la kigaidi la DustiD2 wameweza kumtambua mshambuliaji aliyejitolea mhanga kwa kujilipua katika eneo la 14 Riverside.
Mahir Khalid Rizik ambaye alikuwa na umri wa miaka 25 alizaliwa katika kijiji cha Majengo jijini Mombasa.
Mahir...
Ndugu wana JF ikiwa tuko pamoja katika wiki ya majonzi kwa kupatwa na janga zito lilitokea siku ya jana Nchini Kenya naungana na watu wote waliosikitisha na tukio la kigaidi lilitokea katika majengo ya Riverside katika Hotel ya Kifahari ijulikanayo kama DusitD2 iliyopo mtaa wa Westland jijini...
Sheikh Abubakar Zubeir
Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir.
MIAKA sita tangu kukamatwa kwa masheikh 22 wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar na kuwekwa mahabusu, Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir amezungumzia kwa mara ya kwanza suala hilo.
Masheikh waliopo mahabusu ni Farid Hadi Ahmed...
Ndugu wana jamvi awali ya yote ningependa kuwatakia Week End njema baada ya kuangaika na harakati za kutafuta riziki,
Labda niende kwenye mada moja kwa moja siku ya leo nilienda kulipa kodi ya majengo katika ofisi za TRA baada ya kusikia tangazo kuwa leo ndio siku ya mwisho ya kukusanya kodi ya...
Wakuu habari zenu naamini wengi wetu tutakuwa ni wazima na wale wagonjwa tuzidi kuwaombea ili warejee katika hali yao ya kawaida
Katika pitapita zangu nmekutana na post moja ikionyesha mchanganuo wa kutumia Laki Tatu kama mtaji wa kuanzia kufugia kuku nikaona sio vibaya nikaja kushare na Nyinyi...
Ndugu wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba tuungane kusoma yanayowasibu ndugu zetu
Kuna familia moja ambayo mpaka sasa ina watoto 6 wengine wameshatangulia mbele za haki ambao wamezaliwa na baba mmoja lakin wanne kati yao wamezaliwa na Baba mmoja na Mama mmoja,
alafu mtoto...
Ndugu wanajamvi kama kichwa kinavyojieleza naomba tusome kisa hiki kwa pamoja
Kuna Binti mmoja aliyelelewa katika Familia ya Dini asema alipofika Sekondari ikawa kuna Kijana anamfuata fuata tena anamuita kwa jina lake! Asema nikawa simtizami wala simuitikii hali ikaendelea hivyo.
Mara...
Ndugu Wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza Leo hii kumekithiri Malalamiko ya Vijana Mabarobaro (bachelors) kwamba wanachunwa na Vidada vya Mjini sasa Kero hii imepata ufupumbuzi.
Nini cha Kufanya? Chamsingi kwa kijana anayejitambua anabidi atafute Mmoja wa Ukweli kisha amuowe...
Ndugu Wanajamvi kama mtu ukiwa umepoteza Cheti Cha Form 4 Ukitaka kukipata kingine Baraza la Mitihani Je inabidi uchukue hatua zipi
Pili ikiwa Unataka kuajiriwa na unataka Uthibitisho wa kuwa ulisoma Elimu ya Sekondari ya Kidato cha Nne.
Je Kuna Udhibitisho wowote unaweza ukaupata kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.