Hao watuhumiwa waliwekwa kizuizini kwa dhulma na mama hataki dhulma we kufa na roho mbaya yako je wale walioachiwa kungekuwa na baba yako ungesema maneno haya?
Mkuu maneno yako mbona yako kitheori zaidi haliyakuwa uhalisia hauko hivi ni bora ukae kimya uwaachie wenye taaluma yao wafanye kazi ww kama ni mhubiri endelee na kazi yako hiyo
Mpanji alikuwa anauza mitumba mwanjelwa maisha yalivyompiga akaamia kwnye uchungaji ambako huduma zake kwa 100% ni zakiganga watu wanatoka vijijini huko wanaenda kukaa kanisani kwake wakisubiri huduma ya matibabu in short huyu jamaa ni mpigani hela tu hana jipya
Kama unataka kiwanja maeneo hayo fika RUVU vipo vingi sana maeneo ya RUVU kwenye Soko la samaki vinaanzia 1mil > na umbali wa kutoka Mlandizi hadi Ruvu hauzid 4km
Kwaiyo hapo na wewe ndio umeumiza Kichwa ukatafakari kwa undani na mwisho Halmashauri ya Kichwa chako ikatoa nondo hizo? aise kweli kujimwambafy ni Ugojwa mpya unaowasumbua Watz wengi
Kimsingi hii Sheria mpya inayotaka binti aolewe akiwa na umri wa 18 \18+ Itakuwa inawabana baadhi ya Mabinti waliokosa nafasi ya kuendelea na masomo ambalo kundi hili ili lipate salama inabidi liingie kwenye ndoa
Kama ni mke wa ndoa mkiachana kisha mkienda Mahakamani mtagawana mali ambazo mmechuma mkiwa pamoja 50/50 lakini mali alizokukuta nazo hazimuhusu ktu vilevile ukiishi na KE miaka 2 Kisheria anahesabika kama Mkeo so naye mtagawana kama Mke wa ndoa
Kwa nchi yetu hii bora tu ya Kaisari aachiwe Kaisari mwenyewe cc Wananchi wanyonge bora tuendelee kutafuta mkate wetu wa kila siku maana nani atakaenda "kumng'ata Jongoo wa pale Magogoni"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.