Nimeoa hivi karibuni na wakwe wametukabidhi mjengo kama zawadi. Mwezi mmoja baada ya ndoa ndugu wa mke pamoja na mke mwenyewe wanashauri tuhamie makao mapya tuachane na kupanga. Naona imekuwa ghafla mno na najihisi kama nahamia ukweni vile (wanaume mnaelewa)! Wadau mnasemaje hapa?
Nadhani majibu yafuatayo yanaweza kuwasaidia wale watanzania wasiopenda ushabiki:
1.Ndege hizo si tu hazina mwendo – hata kama hazina mwendo ukilinganisha na ndege nyingine, lakini hakuna ubishi kuwa kasi yake inazidi ile ya basi, treni, au meli tunazotumia achilia mbali usafiri kuwa wa raha...
Wana JF.
Leo asubuhi nimetoka kuweka mafuta BP/ Puma ya Sinza Kijiweni kiasi cha Lita 6.
Nimeondoka moja kwa moja kwenda posts ila cha kushangaza gari limenizimikia dar free market.
Huu si wizi huo?!
Sina hakika na kilometa lakini ukienda na gari ni mwendo wa nusu saa kutoka ferry hadi kwenye kiwanja. Harakati za upimaji viwanja eneo hili zinaendelea na karibu na kiwanja kinachouzwa kumeanza kujengwa nyumba binafsi na za biashara.
Toangoma - Kigamboni. Kipo karibu na barabara kuu inayounganisha kigamboni na kongowe. Mita za mraba 533. Hakina mgogoro na kipo karibu na huduma za jamii. Bei: Mil 14 - Haipungui. Serious buyers tuwasiliane kwenye PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.