Hapa siyo kupigana ndg, ukiridhika na bei unafanya biahara na Mimi. Ziko bei tofauti tofauti zaidi ya 5000. Ili update bei kuna mahesabu yanafanyika baada ya kujua kiasi cha maji ynachotumia kwa siku, eneo ili kujua masaa ya jua, na urefu wa kisima
Ni kweli, inakuwa ngumu kuweka picha kwani system inatofautina kulingana na urefu wa kisima, mahitaji ya kiasi cha maji yanayotakiwa na sehemu mradi ulipo.
Ili kujua gharama ni budi nipate eneo mradi ulipo(kwa maana ya kujua masaa ya jua), kiasi cha maji utakayohitaji, na urefu wa Kisima.
Hapa kidogo tunaweza kuona kama kuna wawakilishi wenye uchungu na nchi na hasa katika kipindi hiki kigumu ambacho uchumi na maisha ya wananchi yanaendelea kuchimbiwa kaburi na hao waliopewa dhamana ya kulinda na kujenga mali na ustawi wa watanzania. 50M kila taasisi iliyoko chini ya wizara hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.