Hii list itakuwa edited by Six mwenyewe ndio maana jina lake halipo kwenye main list huku la Naibu Spika likibaki. Wengi wa hawa ni Mawaziri au wakuu wa mikoa, wao wako ndani ya mihimili miwili kati ya mitatu kwa wakati mmoja, yaani ni legislature kama wabunge na wakati huo huo ni executive kama...
wangapi wanaweza haya maisha?
Kimsingi ndoa haikuvunjika bali iliimarika zaid! sina hakika na Gonjwa hili
ktk mawimbi ya ndoa hii hilikupata nafasi?????????
who cares?
Halafu wakishaongea ndio iweje?
kama wananchi wanaowawakilisha wameridhika nyie kinawauma nini?
Halfu dunia hii ya leo sio sifa kusifiwa kwa kuongea bali kwa kutekeleza yale ambayo Mbunge katumwa na wananchi kuwafanyia
Who cares??
Eboo mbona kwenye vyombo vya habari wanaongea...
njia nyingine ni kumpa pesa ukiona hivyo hana pesa
huyo siunajua hata biblia imesema pesa ndio majibu ya yote??? waulize wenye pesa kama wanalala note;sio vijisenti ni majinoti
Msaada mkubwa ni kumshauri alale pema na salama ikiwezekena awahi kulala kabla ya saa moja! pia kama wa kiume asioe na kama wa kike asiolewe maana ndoa itamnyima usingizi alafu wewe umesahahu kwamba
"aliyelala usimwamshe???" ugonjwaunaambukiza huo maana huyu niliyenae hapati usingizi wangu ni...
inamaana bado tu hawajapata uamuzi wa jina hadi leo????
naomba kujua wanaishi pamoja au bado mama wa mtoto yuko likizo ya uzazi????
basi watupe nafasi wana JF tuwatafutie jina
nlitegemea wangeufanyia kazi ushauri wetu,
kwa sasa wanatumia jina gani kumwita mtoto??
ni kaaazi kwelikweli!
wapendanao mimi nilidhan wangepewa nafasi kila mmoja wao kuelezea hisia zake, ila kwakua jina ni maisha ya mtoto.
wakae faragha maana sijaona sababu za msingi hapo lipi jina linamfaa mtoto ingawa navutika na jina la bibi yake,
lakin ni ukweli pia sio jina zuri saaana...
duuh babu wazo n zuri sana lakin c unajua timu zetu za kibongo yote yatawezekana pale tu timu inapofanya vizuri kama SIMBA kwa sasa huku mhh ngumu umesikia lakin mtibwa leo kapigwa???
mi wajameen nimeshindwa kuelewa lengo ni nini web ya young ua kuanzisha band??? Pepe kale n marehemu gulamali naye hii haiwezi kusaidia c wakati wa kutazama za kale angalien watani wenu waleeeeeeee nini kifanyike ndo nadhan ndo lingekua jambo la msingi
Na Absalom Kibanda
KAMATI maalum ya kutafuta chanzo cha uhasama miongoni mwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) inayoongozwa na rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi, ilimaliza kazi mjini Dodoma mwishoni mwa wiki, baada ya kufanikiwa kupora kwa kiwango kikubwa muda wa vikao vya Bunge la Jamhuri ya...
Na Salim Said Salim
WIMBO maarufu wa dansi wa watoto wa mji kasoro bahari, Morogoro, umetokea kupendwa kwa mantiki yake juu ya hali halisi ya maisha. Kilichopendwa hasa ni ile tahadhari iliyotolewa inayosema, "Tenda wema wende zako…usingoje shukurani."
Lakini, uzoefu mpya wa maisha hapa...
Yabainika aliwasiliana na mkurugenzi wake mwaka 2001
SAKATA la Kampuni yenye utata ya Richmond Development LCC iliyoshindwa kuleta jenereta za kuzalisha umeme wa dharura, linazidi kuchukua sura mpya kila kukicha, Tanzania Daima Jumatano imebaini.
Baada ya sakata hilo kulitikisa taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.