Niko serious sana, na kudhibitisha hilo kuna member humu wananijua physically na wanaweza kuelezea stutus yangu ya maisha na ninaloomba hapa, kuna Aspirin, Teamo, Fidel80, Rev Masanilo na mkewe mzenji pamoja na ndugu yangu Nguli Jabali
Mkuu asante, Jamaa yako Mangi Nguli ananitania sana, na umri unasogea, mkuu sikuoni tena salender bridge vipi? Njooni na Fidel na Teamo tupige maji mnipe na mikakati ya kuondokana na huu ukapera
Yaani nimejishisi mwenye bahati na furaha wewe ni msichana pekee aliyejibu ombi langu
Alimpa...
Mimi ni kijana mwenye elimu ya uzamili, na ninaf anyakazi katika benki. Sijaoa na siku zinazidi kwenda na ningependa kuwa na familia.
Kiumbile mimi ni mpana kiasi, sio menene. Nakunywa kidogo na nimtu wa kupenda kutoka.
Natafuta msichana mnene kidogo au wastani, kusema ya ukweli wembambaaa...
Extremely well paying position available to right person in an international company. Must have sales and marketing experience. Sales trainning a plus. If you have the desired qualifications email your CV to businessforum4@gmail.com
ha ha ha ha tena yuko hapa nimemwonyesha picha anajidai hajaiona anaipotezea ila chuda amesimama mtoto ana mgongo balaa. Wapi siku hizi? twende savana leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.