Katika hayo maswali inayojibu biblia nahitaji kujua yesu alikuwa wapi na alikua anafanya nini kipindi ana umri wa miaka 15 hadi 30. Tafadhali wajuzi wa biblia nisaidieni hili.
Mi nilianza kusoma alipofika mara demu kazaa watoto na jini mara nikiongea nae jini anakuja. Kumbe kwenye simu hapo ndipo nikajiona zwazwa kwa kupoteza muda wangu kuisoma. Hivyo kama atatokea zwazwa atakaemaliza atujuze tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.