1.mimi na matatizo ya presure wakati mwingine inakuwa juu wakati mwingine chini na tumia vidonge vya la six ambavyo kwa siku masharti yake lazima ni tumie ndizi moja je siwezi kula tunda jingine kusaidia
dawa hizo au kupunguza madhara vilevile ni madhara gani nitakayopata nisipo kula hilo...
mmm dada merry pole sana na mawazo yako ambayo mimi nayaona mabaya ingawa wewe mwenyewe unayaona ni mazuri hivyo cha kufanya naomba usifanye mambo kwa kukurupuka kwanu uwezi jua nikiasi gani utamtenda mwezio pindi atakapo gundua kwamba una tembea nje ya ndoa...
sikiliza dada MARTINA kitu nilicho gundua kutoka kwako una self confidence na ndiyo maana unakuwa na nafsi ya kudhani ambayo katika maisha inakuwa siyo nzuri sana na chotaka kukushauri kwa suala kama ilo ni bora ukamweka wazi mwenzi wako kwa kumshaurisha...
LD dada yangu yaani NIMEUMIA kweli yaani nimeisi kama vile ni mama yangu anafanyiwa hivyo hata hivyo huyo mama bado hajachelewa kuna vyuo vingi vya ujasilia mali au vitu vingi vya kina mama vya kujifunza mbinu mbalimbali za maisha anaweza kuungana nao halafu...
lazima mjitahidi mfanye kitu ambacho kitawafanya kila siku mjione mko wapya kama alivyo comment kisukari ndiyo hivy inatakiwa wakati mwingine msafiri wa wili na mambo mengine mengi tu
nashukuru sana nilimwambia hasa kama vile dinna uliyo nishauri na hali ni elewa lakini cha kushangaza bado ana asila na baba yake hataki hata kumuona machoni pake kisa e anasema uamuzi wake mbaya na hili ni vipi au nimuache yeye mwenyewe ajuane na baba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.