Habari zenu wadau wa jukwaa la Biashara, Uchumi na Ujasiriamali.
Naomba kujua top brands za karatasi zinazotumika na kukubalika sana hapa za Tanzania. Nikisema brands namaanisha hizi Rotatrim, HP, Paperline, Golden Start, Double A etc.
nenda kwenye halmashauri husika. Mfano kama unaishi mbagala DSM ungeenda pale Halmashauri ya Manispaa ya Temeke karibu na national stadium. Nenda kawaone ni jambo la siku moja tu ukiwa na documents wanazohitaji. maximum ndani ya siku tatu unapata leseni..
Niko Iringa tena sehemu ina mwinuko tigo inazingua kinoma kudownload. Ninatumia modem ya 4G na huku hakuna 4G kuna 3G sa sijui ndio sababu. Lakini modem za 4G ninachofahamu ukienda sehemu ambazo hazina 4G ina-default to 3G. Hii speed hata ingekuwepo "0.5G" isingefika. Yaani kama sio sheria za...
nina laptop lenovo thinkpad x220 kwenye keyboard key "N" imebanduka unaweza ukanitafutia hiyo "N" na ukaniwekea? Inanikera sana hasa ukizingatia "N" inatumika sana..
hayo maeneo yanajulikana hata wewe unayajua. Ukiona mtaa una bodaboda nyingi si ndio hapo unapopahitaji!!! Maswali mengi namna hiyo mwishowe ukishaambiwa utaanza kuuliza faida ikoje. Ingia kwenye business take risk. Kama mtaji unao jitose na mtegemee mwenyezi mungu. Watu wanashindwa sana kuelewa...
Vipo Kigamboni/Lugwadu. Heka mbili (approx) zote ziko barabarani. Moja 10M na nyingine ni 8M. Ukitaka ukatiwe plot ndogo tutakukatia robo kwa 3M (itakuwa around 1225SQM).
Nipigie kwa maelezo zaidi.
0714620265
Mi nimeelewa tofauti kidogo na wewe atatusahihisha mwanzilishi. Ni biashara yoyote ya kawaida sema ishu ni kutoa huduma bora ambayo/zo kwa kawaida wengine hawatoi kwa namna yako ili mteja aone tofauti ya huduma yako na zile alizozizoea. Kwa kawaida mteja akiridhishwa na huduma huwa anakusaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.