Utasikia mtu anasema "mwanamke yule mzuri" lakini unaweza usiuone huo uzuri anaousifia. Hivi uzuri wa mwanamke ni nini? Vigezo vipi mwanamke awe navyo ili wengi wamuone mzuri?
Mnajidanganya eti bongo kuna amani! Wateule wachache wanatafuna rasilimali za nchi huku walio wengi wanakufa kwa kukosa dawa, maji safi, lishe bora- huku mkipewa kofia, khanga na t-shirt na mkidanganywa kuwa ni "kisiwa cha amani na utulivu". Kwa mawazo ya watu kama wewe hawa watawala wa bongo...
Inawezekana wewe ni ndugu/jamaa ya hao watuhumiwa. Haijalishi Msemakweli katumia approach gani kufikisha ujumbe uliokusudiwa. Cha msingi ni ule ujasiri wa Msemakweli kuweka hadharani udhalimu na unafiki wa baadhi ya viongozi wetu. Kama wachangiaji wengi walivyosema, ni jukumu la wachafuliwa...
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametaja nguzo kuu sita ambazo amesema kuwa zikitekelezwa ipasavyo zitaharakisha kasi ya maendeleo ya Bara la Afrika.
Miongoni mwa nguzo hizo ni Bara la Afrika kuhakikisha kuwa linabuni njia bora zaidi, endelevu zaidi na...
Ni gazeti la serikali
Mhariri ni mwajiriwa wa serikali
...anatetea kitumbua chake kwa kuandika chochote kitachompendeza 'bosi' wake.
...amefilisika kimawazo...hana uwezo wa kutafakari na kupambanua mambo vinginevyo anajifanya hamnazo!
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, John Mwakipesile, Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC), Advocate Nyombi na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya (DC) Leonidas Gama, wameshitakiwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Kanisa la Pentecostal Evangelistic.
Kanisa hilo limechukua hatua hiyo kwa madai kuwa viongozi hao hawakuhudhuria...
"Marekani inaheshimu sana nyumba za ibada, na inapiga marufuku misaada yake kutumika katika mradi ambao utaathiri msikiti." - Omar Chambo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu.
.............................................
...akizungumzia kitendo cha Marekani kutishia ufadhili wa mradi wa...
Baada ya kuwasiliana na wizara na kukubaliana kuhusu fedha hizi, hawakuwasiliana nami hadi nilipostaafu mpaka nikadhani nimesamehewa, lakini niliwaomba msamaha na kuanza kulipa, sikuwa na nia ya kuirusha Serikali hata kidogo, kwani hata katika taarifa ya mali zangu kama kiongozi nimelitaja...
Unachotakiwa kufahamu Zanzibar si Maalim na Amani - hivyo wanapaswa kuweka hadharani kile walichokubaliana ili wananchi tuweze kuchambua na kutafakari kama ni kwa masilahi ya Zanzibar au ni mambo yao binafsi.
Rev. kawaida ya wanasiasa (hasa wa bongo) ni porojo tu hakuna lolote la maana. Ubunge kwao ni ajira ndio maana wanaogopa kuachia kwa visingizio visivyo na kichwa wa miguu!
Tatizo la nchi kuendeshwa zaidi kisiasa na kuzingatia porojo tu. Kila siku utawasikia "serikali imeboresha elimu kwa kuongeza idadi ya shule na wanafunzi...". Kwao IDADI ndiyo kigezo kifaacho na si UBORA. Tunavuna tulichopanda, tulipanda UPE (Ualimu Pasipo Elimu), "Voda Fasta", na mfumo mbovu wa...
A cab driver who spent Christmas Eve driving miles to find an elderly woman who left thousands of dollars in his taxi has refused any reward. Mohammad "Mukal" Asaduzzaman travelled nearly 80km (50 miles) to return more than $21,000 (£13,000) to a forgetful Italian grandmother.
Felicia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.