Habari za muda huu;
Kama kuna mtu ana CPA (PP) anahitajika
Pia Kama kuna mtu ni expert wa kutengeneza Transfer Pricing Policies anahitajika haraka zaidi.
Please contact me via: hu_ba@ymail.com
Na pia utanitumia na namba yako ya simu.
Ahsanteni.
Dereva wa Uber anahitajika mwenye uzoefu. Hesabu ya wiki ni 175k hadi 180k. Aliyetayari anitafute kwa namba hii 0620 561 857.
Gari atakayokua nayo ni Vitz New Model, haili mafuta cc990 tu, . Kazi kwake..
Dear all.
The experienced tax consultant is available but on part time basis..
He has 3 years working experience in reputable audit firm and has been proving good performance in many complex tax assignments.
He is good and well in the following areas:
. Computation of Corporate Income Tax
...
Habar zenu wanachama wa JF.
Nina habari Nzuri kwa wote wanaohitaji Payroll calculator/ Sheet kwaajili ya kukokotoa mishahara ya wafanya kazi yenye sifa zifuatazo :
1. Iko updated katika PAYE rates, NSSF, PPF, WCF, na SDL
2. Ni rahisi kutumia.
3. Ina uwezo wa kuweka data za wafanya kazi hadi...
Dah, am just helping you because umeleta uzi hapa kwa wanajamii but next time u have to pay for this consultancy service:
Ok lets come back on the issue: Tax on rental income iko hivi kama ifuatavyo:
huyo mapangaji anatakiwa akate kodi ya 10% (rental withholding tax) immediately kwenye hyo...
Can anybody advise if expatriates are required to pay taxes in Tanzania. I have no idea about this..
Give in brief what kind of business is that expatriate doing, but generally the type of tax which that expatriate is going to suffer is Withholding tax.
Habari zenu wanajamvi. Kwa anaefahamu trainings za Audit firms hua zinakuaje, yani kwa mfano mtu ni graduate ana ka'degree chake tu cha Taxation, then aka'apply job kwenye hizi audit firms, then wakamwambia atapata trainings kwa miezi 6 then watamuajiri rasmi na kwa kipindi chote hicho cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.