Unaona sasa. Tukisema , oooh hamna adabu !! mnawatukana wazee !! Lakini mambo yote yako wazi. Hapa tunakwenda Ki-ushikaji. Kama hauko na sisi ........ Utaji......
Haraka haraka utaona kama ni kulipana fadhila kweli. Lakini mbona wakongwe hawa walikuwa watu wazito sana kabla hawajastaafu mwanzoni ????.
Halafu tunaambiwa watawekwa madarakani vijana zaidi siku za usoni!!!. Watatoka wapi, wakati hawana nafasi ya kupata uzoefu ???.
Hapa tunadanganyana...
Sina hakika sana na haiba ya Sofia Simba, lakini nashawishika kuamini kuwa, si mwenye maadili mema amekaa kiswahili mnoooo. Hata sijui wamemtoa wapi huyu hata akawemo kwenye mtandao ???
Hitaji la Tz sio msukumo maana hakuna msukumaji.
Unahitajika moyo wa UZALENDO , yaani mapenzi ya dhati kabisa kwa TAIFA. Mtu wakati wote anachokiwaza kiwe ni kwa ajili ya TAIFA. HILO NDILO LILIKUWA LENGO LA AZIMIO LA ARUSHA. Tofauti na hapo ni UBINAFSI hatimaye RUSHWA na baadaye UFISADI
Sera hii iliyoshikiwa bango na CCM ndio ninayotaka kuijadili hapa kwa nia ya kuonyesha jinsi inavyohitaji umakini mkubwa katika kuitekeleza.
Yakifanyika makosa, nchi itaingia matatani kwelikweli.
Hebu tuchukue mifano michache ambayo inaweza kuchukuliwa kama mwongozo wa kufanya maamuzi...
Naomba nijumuike nanyi katika kazi hii adhimu ya kukumbushana wajib, majukumu na haki zetu kama waTz bila kuoneana haya ili jamii isijelia na kusaga meno kwa kunyamaza kwetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.