Search results

  1. A

    Orodha ya Gazeti la Jamhuri ni kumsafisha Boss Mmiliki wao na tuhuma za Unga?

    Jamhuri la EL jamani, hao wengine vibaraka tu. wasaka tonge
  2. A

    Kagasheki asema, ‘Things are rotten’!

    Kazi tunayo, tena kubwa
  3. A

    Tarangire yakabiliwa na Simba wajane, yatima

    Tarangire yakabiliwa na Simba wajane, yatima Na Daniel Mbega, Iringa HAWAFI kwa Ukimwi wala malaria, lakini Simba madume wametoweka katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire. Matokeo yake wameacha wajane na yatima. Hifadhi nzima kwa sasa ina Simba dume mmoja tu, wawili wengine walikimbia baada ya...
  4. A

    Kagasheki asema, ‘Things are rotten’!

    Nimeipata sasa hivi hii wadau, naomba tuijadili... Na Daniel Mbega, Iringa WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Hamisi Sued Kagasheki, amepuliza kipenga. Kilichobaki sasa ni kwa wachezaji kushiriki kikamilifu kupambana na ujangili, kwani mambo yameoza na yanahitaji kusafishwa. Akizungumza...
  5. A

    Chifu Mkwawa: Tumuenzi kwa Kifo chake au kwa kurudishwa kwa fuvu lake?

    Wadau, ni muda mrefu nimekuwa msituni, hongereni kwa kazi nzuri. Ninapenda sana historia, hasa inayotuhusu Waafrika. Natambua kwamba Chifu Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (Mkwawa) ndiye mtawala pekee wa Kiafrika aliyepigana na wazungu akawashinda. Pamoja na tukio hilo la kihistoria, ambalo...
  6. A

    Ufisadi kuifikisha Mbomipa kortini

    Na Mwandishi Wetu VIJIJI nane kati ya 21 vinavyounda Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori katika Tarafa za Idodi na Pawaga (Mbomipa) vimetishia kwenda mahakamani kupinga mikataba ya uwekezaji inayodaiwa kuwa mibovu. Vijiji hivyo nane vinadai kwamba, mikataba hiyo imetandwa na mazingira ya ufisadi...
  7. A

    Dunstan Tido Mhando Mkurugenzi Mpya Mwananchi Communications Limited

    Wadau, taarifa nilizozipata punde ni kwamba, Mkurugenzi wa zamani wa TBC, Dunstan Tido Mhando ndiye amelamba ajira ya Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications limited na kwamba anatambulishwa rasmi kesho Ijumaa.Mhando anachukua nafasi ya Sam Sholei aliyemaliza muda wake mwaka jana.
  8. A

    Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

    Wakuu, Nafahamu yamekuwepo mapendekezo mengi kuhusu mabadiliko ya Katiba ya JMT. Hata hivyo, mapendekezo yangu (ambayo naamini yamekwishatolewa mara kadhaa) ni kwamba, kipengele kinachompa kinga Rais asishtakiwe akiwa madarakani (au baada ya kutoka) kifutwe kwa sababu zifuatazo: * Kuanzia...
  9. A

    Serikali imefilisiwa na mafisadi, halmashauri Mbozi wamekopa 100m kutoka Lima Ltd

    Mbona wamewanyima kununua kahawa??? na hizo pesa wamelipa????
  10. A

    Black Market Bongo

    Wengine hatulijui jamani, mtusaidie ili hata huku ng'ambo tuweze kulitumia. si mnajua ni vigumu kuondoka na hela nyingi kwa mama au hata kwa jaluo obama.
  11. A

    Mch Rwakatare afilisi kiwanda cha Mang'ula Engineering Company Kilombelo!

    Hii kali jamani. Huyu mama si aliwahi kutuhumiwa kujimilikisha kiwanda kule Igoma, Mwanza na kujenga sekondari yake? Hakika wanajidanganya wenyewe hawa na watakuwa kupigwa makofi na shetani siku moja kwa kumchezea Mungu. Angalieni, mtu asiwadanganye. wengi watakuja kwa jina langu, watatoa pepo...
  12. A

    Takwimu za migomo ya wafanyakazi tanzania tangu 1995-2012

    Mkuu, hata hiyo unayoisema, waweza kuiweka ukiandika tarehe mgomo husika ulipoanza. si vibaya, mkuu.
  13. A

    Takwimu za migomo ya wafanyakazi tanzania tangu 1995-2012

    Habari wakuu. Natambua watanzania wengi wanaumia kutokana na kukosa huduma za afya kufuatia mgomo wa madaktari. Tunahitaji kujikumbusha, na ninaomba msaada wenu kwa faida ya walalahoi wenzangu/wenzetu, mwenye kumbukumbu nzuri hivi tangu mwaka 1995 mpaka 2012 kumekuwepo na migomo mingapi? - Ya...
  14. A

    Mfanyabiashara anunua vijiji vitatu Songea

    Mkuu Ng'wanangwa hujanielewa. Ndiyo maana nimesema kuna taarifa ya kununuliwa kwa vijiji kule Songea, kama ningekuwa na detail zote ningezimwaga. Naamini wapo wadau ambao wanalielewa suala hili, hivyo si vibaya kuchangia.
  15. A

    Mfanyabiashara anunua vijiji vitatu Songea

    Habari wakuu? Kuna taarifa kwamba mfanyabiashara mmoja amenunua vijiji vitatu wilayani Songea, kikiwemo kijiji maarufu cha Matimila. Pengine kwa maslahi ya wengi ninaomba mwenye taarifa za kina atujuze wandugu.
  16. A

    Mbunge wa Sumbawanga Mjini aliyempa mimba mwanafunzi mbona hashughulikiwi au Serikali inamlinda?

    Huyu ndiye baba mzazi wa binti mzee Joachim Louis. Haya si majungu. Kuhusu kubadilika, jamaa hajabadilika kabisa, vinginevyo asingeweza kumfanyia kitu mbaya Mhindi kwa kumtuhumu kummega mkewe mwaka 2008. Jamaa ni noma, hata wadogo zake nao ni viwembe kweli kweli na wanawafanyizia wanawake wa...
  17. A

    Mbunge wa Sumbawanga Mjini aliyempa mimba mwanafunzi mbona hashughulikiwi au Serikali inamlinda?

    Alipelekewa taarifa hizi mapema akasema yuko bize. Bosi wa TGNP naye alipelekewa pamoja na ushahidi mwingine, hawajafanya lolote zaidi ya kumwahidi source kwamba wangewasiliana naye. Ni upuuzi mtupu kwa taasisi hizo ambazo ziko kimbelembele kupigia kelele unyanyasaji lakini zinapopelekewa...
  18. A

    Mbunge wa Sumbawanga Mjini aliyempa mimba mwanafunzi mbona hashughulikiwi au Serikali inamlinda?

    Aeshy Khalfan Hilary ana miaka 38, alifukuzwa shule kidato cha pili akahamia shule gani sijui (wadau wataongezea). Alikuwa kwenye kikundi cha wahuni kilichokuwa kinajihusisha kuvuta bhangi, kutukana walimu na kubaka wasichana. Mfanyabiashara wa sukari ya 'magendo' kutoka Zambia, na huko...
  19. A

    Mrema TLP na picha ya aibu

    Ndo wabunge wenu jamani, kazi mnayo.
  20. A

    Mbunge wa Sumbawanga Mjini aliyempa mimba mwanafunzi mbona hashughulikiwi au Serikali inamlinda?

    Wadau, this is very very serious. Nakumbuka wakati fulani mwaka jana kuna mwandishi wa gazeti moja aliwahi ku-uncover vitendo vichafu vya aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini (CCM) ambaye kwa bahati 'nzuri' sasa ndiye mbunge rasmi baada ya matokeo yale 'kuchakachuliwa'...
Back
Top Bottom